Hakuna atakayehamia Dodoma, zile zilikuwa siasa tu na wawekezaji wasiotumia historia katika maamuzi yao walikimbizana Dodoma kununua ardhi na nyumba...sasa haviuziki. PM alisakiziwa aende huko akajikuta akifanya kazi za mkuu wa mkoa, akaona isiwe shida sasa anafanya ziara mikoani kusaka faru. Tumeharibikiwa sio kidogo!