badface_kay
Member
- Mar 4, 2017
- 18
- 2
Jamani hivi Utaratibu wa kuhama chuo kwa mwaka huu ipoje kwa anaefaham yan kutoka chuo kimoja kwenda kingne pamoja na kubadili kozi pia
Nataka kutoka saut mtwara kwenda mzumbeUnataka kutoka wap kwenda wapi ...kwan kama unatoka udsm kwenda tumain ni rahis sana ...🙁🙁 ila kama unatoka saut kwenda udsm utasubili sana...
I