KUHAMA KOZI.

KUHAMA KOZI.

said duse

Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
98
Reaction score
10
Habari wanajf.
Nilikuwa nauliza madhara ya kuhama kozi katika chuo hicho ulichopangiwa na Mikopo inakuaje kama umepata alafu unahamia kozi nyingine je kunakuaga na shida gani
 
Labda kama n chuo hicho hicho maana usije ukajikuta umekosa mkopo bure ...mikopo ynyw ya mwaka huu haieleweki ukipata unashukuru labda kama unahama ndani ya chuo hcho hcho
 
Kama hiyo Koz ni mwendelezo wa afya, au biashara au uwalimu hakuna shida mana tcu wamesema tarehe 30/11/16 watapeleka majina heslb, kwanza mwaka huu mkopo ni kusota
 
Kama hiyo Koz ni mwendelezo wa afya, au biashara au uwalimu hakuna shida mana tcu wamesema tarehe 30/11/16 watapeleka majina heslb, kwanza mwaka huu mkopo ni kusota
Kma unahama kozi ya chuo hcho hcho na c muendelezo was hzo juu
 
Back
Top Bottom