Kugongewa mke inauma sana

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,027
Reaction score
4,308
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
 
Kwani wale waliosema "We tafta hela tu" vipi wanasemaje?
 
Kwenye kikao tulikubaliana kuwa kugongewa ni siri ya ndani..!! Iweje uiseme hadharani.!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…