Hii tabia ya watu kugombea ubungu kutokana na umaarufu labda alikuwa mganga wa kienyeji maarufu, muigizaji, muimbaji, mcheza shoo za twanga n.k itatuletea watunga sheria mbumbumbu. Jaman tuwen macho. Hata kule bungen kwenye mambo ya msingi utawaona tu kina lisu, Mnyika, chenge, Zito na sio kima Maji marefu, Vick kamata and the like