gentlemanx
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 2,375
- 7,217
Wana JF habari zenu?
Mimi ni mhitimu wa chuo, kazi imekuwa shida sana kupata. Nataka nifungue kampuni ya usafi na kusupply, najua kwa kiasi chake.
Msaada wowote kutoka kwenu ntashukuru!
Mimi ni mhitimu wa chuo, kazi imekuwa shida sana kupata. Nataka nifungue kampuni ya usafi na kusupply, najua kwa kiasi chake.
Msaada wowote kutoka kwenu ntashukuru!