Nimepata wazo, ndugu zangu, kama kijana una elimu fulani, mfano degree, kama unauwezo bs endelea kusoma cz kule utakutana na watu wepya unaweza kufungua fursa mpya.
Kazi za kuitwa kwenye interview watu 500 anatakiwa mmoja ni kucheza kamari tu, kazi upate mtu akwambie lete CV so kila ukiongeza marafiki ktk elimu ndo unazidi kujifungulia.
Natanguliza shukrani
Kazi za kuitwa kwenye interview watu 500 anatakiwa mmoja ni kucheza kamari tu, kazi upate mtu akwambie lete CV so kila ukiongeza marafiki ktk elimu ndo unazidi kujifungulia.
Natanguliza shukrani