Diamond na machawa wenzake washamba siku YouTube na media nyingine wanazopatia mamilioni yao zikipigwa chini akili zitarudi, kwa sasa dikteta kaamua X na JF zipigwe chini nchi nzima, next inawezekana ni kwenu Mr Domo, ngoja muingie 18 zake ndio mtajua bidii ya kazi sio kila kitu
[Nakazia]