Kufungia JamiiForums si sawa

Machawa wanafikiri no election no reform ni chuki tuu, mambo ya kipuuzi kama haya, kuyazuia lazima mabadiliko ya katiba, too much power kwa mtu mmoja na chama chake siku akigombana na mke wake anazima internet nchi nzima, huwezi kuona mambo haya kwa nchi zinazojielewa
 
Diamond na machawa wenzake washamba siku YouTube na media nyingine wanazopatia mamilioni yao zikipigwa chini akili zitarudi, kwa sasa dikteta kaamua X na JF zipigwe chini nchi nzima, next inawezekana ni kwenu Mr Domo, ngoja muingie 18 zake ndio mtajua bidii ya kazi sio kila kitu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…