Kufunga swaumu

Kufunga swaumu

Status
Not open for further replies.
Assalamu 'alaykum wa RahmatuLLaah wa
Barakaatuh
Tumefuatilia kila pahali na hivi sasa tumepata
taarifa kwamba mwezi haukuonekana popote
duniani leo Ijumaa 29 Sha'baan 1435H
(27-06-2014). Hivyo kesho Jumamosi
tunakamilisha siku thelathini za Sha'baan, na
Jumapili (29-06-2014) In Shaa Allaah itakuwa ni
siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa
Ramadhaan.
ALHIDAAYA inawaombea Ramadhaan ya kheri na
baraka nyingi, mchume thawabu tele, Swawm
zikubaliwe, dhambi zighufuriwe, na Allaah
Atutakabalie 'amali zetu In Shaa Allaah.
From WWW.ALHIDAAYA.COM
 
Radio Iman wametangaza kuwa umeonekana Kenya. Lakin bado tutapata uhakika toka Bakwata coz haujaonekana kwa mimi niliye kanda ya kati.
 
Assalamu 'alaykum wa RahmatuLLaah wa
Barakaatuh
Tumefuatilia kila pahali na hivi sasa tumepata
taarifa kwamba mwezi haukuonekana popote
duniani leo Ijumaa 29 Sha'baan 1435H
(27-06-2014). Hivyo kesho Jumamosi
tunakamilisha siku thelathini za Sha'baan, na
Jumapili (29-06-2014) In Shaa Allaah itakuwa ni
siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa
Ramadhaan.
ALHIDAAYA inawaombea Ramadhaan ya kheri na
baraka nyingi, mchume thawabu tele, Swawm
zikubaliwe, dhambi zighufuriwe, na Allaah
Atutakabalie 'amali zetu In Shaa Allaah.
From WWW.ALHIDAAYA.COM

kuna mdau ameniambia wao wameuona turkey mkuu so kesho ni kufunga.
 
Assalamu 'alaykum wa RahmatuLLaah wa
Barakaatuh
Tumefuatilia kila pahali na hivi sasa tumepata
taarifa kwamba mwezi haukuonekana popote
duniani leo Ijumaa 29 Sha'baan 1435H
(27-06-2014). Hivyo kesho Jumamosi
tunakamilisha siku thelathini za Sha'baan, na
Jumapili (29-06-2014) In Shaa Allaah itakuwa ni
siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa
Ramadhaan.
ALHIDAAYA inawaombea Ramadhaan ya kheri na
baraka nyingi, mchume thawabu tele, Swawm
zikubaliwe, dhambi zighufuriwe, na Allaah
Atutakabalie 'amali zetu In Shaa Allaah.
From Alhidaaya.com


Mwezi umeonekana Yemen na kwenye maeneo ya Isiyolo na anahojiwa mtu Radio iman Tz, na Kenya sheikh aliyeona anaitwa Sheikh Abdulazizi, ni mdiri wa madrasa ya al salah, na mwingine ni Abdullah Is-haka, 0720255517, na Abdullahi Karam, 0721763704, hawa ni wa Kenya masjid kambi garva, Salat 0702085623 unaweza ongea na hawa waliouona maeneo ya Isiyolo. Hapa mjini Morogoro tarawehe inaendelea Masjid Haqi.

Ramadhan kareem.
 
Haya mambo ya kutegemea kuandama kwa mwezi haya jamani...,!iko siku mtafunga siku ya iddi yenyewe.
 
Assalamu alaykum hizi ni taarifa zilizo tufikia punde kutoka kwa ndugu zetu wa yemen akhiy abuu qutayba na abuu muaawiya ambao hao ni wa tz wapo yemen kwa ajili ya masomo wamenitumia taarifa za mwezi na sasa wapo katika taraweeh na kesho insha allah ni ramadhani ya kwanza allah atuthibitishe katika haqqi mwezi umeonekana yemen maeneo ya hudaida allahu akbar
 
Poleni sana mnao fuata Mwezi kama kiongozi wenu. Sisi Wakristo hatufuati Mwezi bali Mungu Mkuu. Nyie endeleeni na kuabudu Mwezi.
 
Poleni sana mnao fuata Mwezi kama kiongozi wenu. Sisi Wakristo hatufuati Mwezi bali Mungu Mkuu. Nyie endeleeni na kuabudu Mwezi.

Wapi Umeambiwa Waislam Wanaabudu Mwezi "Ewe Mgalatia Ishmael Usie Na A.k.i.l.i Nani Amekuloga?"
 
Wapi Umeambiwa Waislam Wanaabudu Mwezi "Ewe Mgalatia Ishmael Usie Na A.k.i.l.i Nani Amekuloga?"
Akili ya mashudu itawezaje kufahamu kuwa mlianza kula usiku Kwasababu mwezi uliandama. Wewe ni bure kabisa.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom