Hutu mwalimu kashaanza kuitawala inchi hii kwa mkono wachuma lkn mm namwambia akazie hapo kabisa maaana ccm inakaulimbiu moja kua mtaisoma namba ..sasa hawa magwanda ya kijana walizani tutaisoma wapinzani tu sasahata wao wanaisoma ..nilishasema ukiwa natabia yakusaliti wenzako jua kinasiku utawasaliti hafamiliyako ..nape umekulia ccm kwann huumchezo hukuufahamu mapema