Kijana kwa ushauri wangu wa kitaalamu na mambo nw yalivyo,kwenye biashara nw fuga kuku wa nyama,ila wa mara ya kwanza usitegemee kupata faida bt kuanzia round ya pili faida kubwa sana,pia ntakuwa tayari kukushauri kwnye masuala hayo,na utaona kama ulichelewa kuanza hyo biashara.