Kufufua topic - Hii ndiyo Richmond ya Kikwete

Mwafrika

JF-Expert Member
Nov 20, 2006
5,490
226
Kuna topic ilikuwepo hapa jana ikieleza kuhusu chanzo cha Dowans na namna Richmond ilivyomezwa kiaina na Dowans. Iliweza kuonyesha pia kuwa Dowans ni kampuni hewa isiyo na ofisi wala viongozi wanaojulikana.

Iliweka pia hotuba ya Kikwete akisema kuwa ametoa agizo against Dowans au richmond. Iliuliza pia maswali kuwa agizo la Kikwete lilitolewa lini, wapi na kwa nani (kama sikosei).

Hiyo topic ni miongoni mwa wahanga wa matatizo ya kiufundi yaliyoipata JF jana. Sina hakika kama mzee mwanakijiji ana mpango wa kuianzisha tena ila kwa kweli ile topic ni muhimu sana kupita hivi hivi - hasa muda huu ambapo mgao wa umeme umerudi kwa kishindo.

Ninajaribu kufufua ule mjadala kwa kuanzisha thread hii. Natumaini ule moto wa jana utaendelea tena hapa.

Asante
 
Kuna topic ilikuwepo hapa jana ikieleza kuhusu chanzo cha Dowans na namna Richmond ilivyomezwa kiaina na Dowans. Iliweza kuonyesha pia kuwa Dowans ni kampuni hewa isiyo na ofisi wala viongozi wanaojulikana.

Iliweka pia hotuba ya Kikwete akisema kuwa ametoa agizo against Dowans au richmond. Iliuliza pia maswali kuwa agizo la Kikwete lilitolewa lini, wapi na kwa nani (kama sikosei).

Hiyo topic ni miongoni mwa wahanga wa matatizo ya kiufundi yaliyoipata JF jana. Sina hakika kama mzee mwanakijiji ana mpango wa kuianzisha tena ila kwa kweli ile topic ni muhimu sana kupita hivi hivi - hasa muda huu ambapo mgao wa umeme umerudi kwa kishindo.

Ninajaribu kufufua ule mjadala kwa kuanzisha thread hii. Natumaini ule moto wa jana utaendelea tena hapa.

Asante

matatizo ya kiufundi yanahusiana vipi na kupotea kwa hii topic?
 
Back
Top Bottom