X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,768
upo wapiMbonde saidia hapa, nina moderm ya tigo nataka kuiflush iweze kusoma line zote nafanyaje?
upo wapiMbonde saidia hapa, nina moderm ya tigo nataka kuiflush iweze kusoma line zote nafanyaje?
Upo wapi nikusaidie kwa fedhaKuirudisha ndo issue sasa
Upo wapi...tatizo dogo sana hiloMbonde saidia hapa, nina moderm ya tigo nataka kuiflush iweze kusoma line zote nafanyaje?
ncheki namba 0715629715Kuirudisha ndo issue sasa
imeanza ghafla au?Simu yangu ina tatizo la network ..yaani inashuka hata simu hatoki wala haizingii hata sms hazutoki..ni camon x
hebu jaribu kuangalia kama imei za ndani na nje zinafanana...kama hazifanani simu itakuwa ya kuflash ilw kama zinafanana jua ni tatizo la hardware..hadi ifunguliweYeah mkuu nisaidie..hata internet ni kubaatisha
ok ...kuna uwezekano mkubwa tatizo lako ni la hardware*#06# inatoa imei mbili
peleka kwa fundi hardwareDuh nifanyaje mkuu