Mie baiskel ilinishinda, siku ya kwanza kufundishwa nilipoanguka na kujifunza kukaishia hapo. Unaambiwa ati ili ujue kuendesha baiskel laziim mpk uumie......kuumia huko vipi
Mie baiskel ilinishinda, siku ya kwanza kufundishwa nilipoanguka na kujifunza kukaishia hapo. Unaambiwa ati ili ujue kuendesha baiskel laziim mpk uumie......kuumia huko vipi
Baiskeli kujifunza ilikuwa kitambo Sana toka bwanamdogo kabisa,pikipiki kidato cha kwanza tayari naendesha ila baadae nikaachana nayo hadi sasa sijaigusa...