Kuelekea uchaguzi wa UWT: Bi Anne Kilango Malecela achafuliwa na wapinzani wake...


Kudos......nimeipenda hii mkuu,ulikuwa una wazo km langu
 
ukweli unauma sana
UWT ilikuwa zamani sio sasa imeshapoteza mwelekeo
kati ya sophia na kilango hakuna msafi wa kuiongoza UWT
kwa ufupi sina chama na pia chadema sio chama cha kikanda labda utuambie zito, bob makani na wengineo ni wa kaskazini
naona huna sera ya maana labda ukaimbe taarabu TOT.
Sio kila Sehemu unaweza kuwataja hao majambazi wenu chanyema.....hapa
 
Mungu atakulaani kufananisha ccm na chama cha mkoa wa kaskazini ....ccm ni chama kubwa bana .....chadema ndio nini maana yake! ...

Ww acha ujinga wako hapa,do u think Mungu anadhihakiwa kipumbavu!?,kajipange,cdm inaingiaje hapa!pu..afu
 
Hii ndio shida ya siasa za TZ. Mtu ni mbunge bado anawania nafasi zingine. Binafsi napata shida kuamini kama ni kweli kuwa lengo ni kuwatunimikia wananchi.
 
mfamaji haishi kutapatapa. Anne Kilango ndiye mwenyekiti mpya wa UWT. Ana watia kiwewe mavuvuzera makuhadi wa Conservative Union. Hapo mjiandae. Nashangaa hii Jamii Forum huwani wana Chadema. Pale wanapozungumzia saana mambo ya CCM ujue wamehisi kuna zahama linakuja dhidi yao. Kama baba paroko alivyozimwa kuwa anawaogopa LOWASA na CHENGE maana hawa ni majabali. Mara wakakurupuka kumpa tafu Sumaye yoote ni kifo cha CHADEMA ndo hofu yao. Subirini uchaguzi wa ndani Chadema mtabaki walewale ZITO HUYOOO ANAPETA NA WATU WAKE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…