CCM inakwenda katika uchaguzi wa viongozi ngazi zote za chama. Tayari warm matches zimeshaanza. Tumemuona Anna Kilango kishavaa Bukta anatroti kuchukua nafasi ya Sophia Simba.
Hivi CCM wamechekecha akiba zao zote na kuona hao ndio silaha zao? kweli R.I.P CCM 05TH FEBRUARY 1977 - 29TH OCTOBER, 2015 bwana alitoa na bwana anatwaa jina lake lihimidiwe.