Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019

Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019

Eli wallach

Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
25
Reaction score
21
Zikiwa zimesalia miezi kadhaa tuingie tena kwenye fainali za Uchaguzi wa SERIKALI ZA MIKOA AMBAO BILA SHAKA UPO CHINI YA TAMISEMI OFISI YA WAZIRI MKUU
huku tukiona katika vyama pinzani watu waking'oka inaleta taswira gani kuelekea uchaguzi huu
Je uongozi ulioko madarakani utakuwa
Na nguvu kubwa
Na upinzani je utatumia mbinu gani dhidi chama tawala
Karibu tujadili....
 
Kwa Polisi hawa jinsi wanavyoshabikia waziwazi CCM.......

Plus na wasimamizi wa uchaguzi "kuagizwa" ni lazima wawatangaze wagombea wa CCM kuwa washindi......

Bila shaka wapinzani wahesabu maumivu tuuu, kwenye chaguzi hizo
 
Bila tume huru uchaguzi, utaenda kupiga kura ya nini?
 
Back
Top Bottom