The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 2,204
- 3,327
nataka tujadili safari yetu kumpata raisi tumtakae kwa kurejea falsafa maarufu inayowagawa watu ktk makundi matatu 1 people with simple mind discuss people 2 people with avarage mind discuss events 3 people with great mind discuss ideas. TUNAMHITAJI RAIS.
Ila kuna maswali tujiulize
1.Tuna matatizo gani ya msingi kwa ujumla wetu?
2. Nini matazamio yetu kama taifa?
3. Kama taifa tuna uwezo wa kufka huko tunakotazamia kwenda?
4. Ni kwa namna gani tutafka? pengine kwa haya machache nazani ni nukta mhm sana tukaanzia hapo.
NAOMBA WANAJAMVI TUSAIDIANE KUAINISHA MAJIBU YA HAYO MASWALI jambo la pili ni kutafuta ni kujiulza swali la kujibu hzo hoja ampapo pia litakua na maswali yafuatayo 1 ni chama kipi ilani yake ina majbu sahihi? 2 ni chama kipi kinasimamia uwajbikaji bila ubabaishaji (chama ni mhim sana kwan mgombea endapo atachaguliwa atafanya kaz ndani ya mfumo wa chama) 3 ni mfumo upi wa uongozi unalifaa taifa na upo chama kipi?
NAKERWA SANA NA TABIA YA KUPIGA KURA KWA MAZOEA.
Pigia kura majibu ya changamoto.
Ila kuna maswali tujiulize
1.Tuna matatizo gani ya msingi kwa ujumla wetu?
2. Nini matazamio yetu kama taifa?
3. Kama taifa tuna uwezo wa kufka huko tunakotazamia kwenda?
4. Ni kwa namna gani tutafka? pengine kwa haya machache nazani ni nukta mhm sana tukaanzia hapo.
NAOMBA WANAJAMVI TUSAIDIANE KUAINISHA MAJIBU YA HAYO MASWALI jambo la pili ni kutafuta ni kujiulza swali la kujibu hzo hoja ampapo pia litakua na maswali yafuatayo 1 ni chama kipi ilani yake ina majbu sahihi? 2 ni chama kipi kinasimamia uwajbikaji bila ubabaishaji (chama ni mhim sana kwan mgombea endapo atachaguliwa atafanya kaz ndani ya mfumo wa chama) 3 ni mfumo upi wa uongozi unalifaa taifa na upo chama kipi?
NAKERWA SANA NA TABIA YA KUPIGA KURA KWA MAZOEA.
Pigia kura majibu ya changamoto.