babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,602
"Kura hukomesha mashindano, hukata maneno ya wakuu"
Kila baadaya ya miaka hamsini hutokea MABADILIKO ambayo kwa kawaida huwa hayazuiliki na atakaye jaribu kuyazuia basi hukumbwa na dhoruba.
MABADILIKO yanayoenda kutokea Tanzania siku chache zijazo ni mpango wa Mungu na wala si ya bahati mbaya.
Hakika Mungu amesikia kilio cha watanzania kwani wameishi utumwani kwa miaka mingi na sasa wanahamishiwa Kaanani.
Haijawai tokea kanisa kubwa kabisa duniani, kanisa katoliki kuruhusu waumini wake kufanya ibada siku ya jumamosi ili jumapili wakashiriki kufanya MABADILIKO kikamilifu.
Na sawa makanisa mengine makubwa ya kipentekosti nayo wiki hii yanaenda kufanya ibada siku ya jumamosi ili waumini wake wakafanye MABADILIKO siku ya jumapili.
Muacheni Mungu aitwe Mungu!
Kila baadaya ya miaka hamsini hutokea MABADILIKO ambayo kwa kawaida huwa hayazuiliki na atakaye jaribu kuyazuia basi hukumbwa na dhoruba.
MABADILIKO yanayoenda kutokea Tanzania siku chache zijazo ni mpango wa Mungu na wala si ya bahati mbaya.
Hakika Mungu amesikia kilio cha watanzania kwani wameishi utumwani kwa miaka mingi na sasa wanahamishiwa Kaanani.
Haijawai tokea kanisa kubwa kabisa duniani, kanisa katoliki kuruhusu waumini wake kufanya ibada siku ya jumamosi ili jumapili wakashiriki kufanya MABADILIKO kikamilifu.
Na sawa makanisa mengine makubwa ya kipentekosti nayo wiki hii yanaenda kufanya ibada siku ya jumamosi ili waumini wake wakafanye MABADILIKO siku ya jumapili.
Muacheni Mungu aitwe Mungu!