Kuelekea kustaafu Kikwete: I'll always remember...

  1. Mwaka 2005 nilikuwa ninanunua unga wa sembe kilo moja kwa shilingi 200 sasa hivi ninanunua kwa sh 1200
  2. Mwaka 2005 thamani ya shilingi kwa ulinganifu na dola ya Marekani, dola moja nilikuwa ninanunua kwa shilingi 800 sasa dola hiyo hiyo ninanunuwa kwa sh. 1630
  3. Deni la taifa ndiyo balaa, amezunguka dunia yote akiomba, lakini ameshindwa kabisa kutafuta soko la korosho, kila mwaka bei anayolipwa mkulima inapungua.
  4. Kilio kimetawala mapori yote, tembo jamani wanalia, hukumu ya kifo iliyopitishwa mwaka 2005 hadi 2015 kwa tembo kuuawa imeshatekelezwa kwa asilimia 75 (%)
  5. Tunashukuru kwa furusa na uwazi mkubwa wa kuuza madawa ya kulevia, watangulizi wake wote walishindwa, lakini tangu mwaka 2005 mambo yameboreka kuliko maelezo.
 
Jamaa ww akili yako imeganda. Kama hujamuelewa mtoa hoja basi ww ubongo wako ni maiti.

Acha us.engerema,kwa akili yako ya kishoga unadhani hoja yake imekamilika kila mahali,pili sijamuuliza mtoa hoja,nimemuuliza mwngne na kaelewa hoja yangu na kajibu.utakuja kuolewa shauri yako!
 
Ulitaka amsifie Kwa lip I? A cha chuki mnamacho lakini mnajifanya kama hamuoni jk kafanya mengi tofauti kabisa nawatangulizi wake

Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe ni vigumu kuelewa mambo magum,nikusaidie kwa kukuuliza maswali
ww unadhani kazi au wajibu wa rais ni upi akiwa madarakani?
Rais akifanya jambo lolote analifanya kwa hisani au ni wajibu wake?

Kuonyesha kweli wewe ni boya huwezi kuona tofauti kati ya watangulizi wake na yeye kwenye pato la taifa,kipindi cha uongozi nk,mlitaka nyerere ajenge lami nchi nzima na huduma nyngne kutegemea tumbaku na pamba?bure kabisa wewe!
 
Nitamkumbuka kama raisi pekee tz aliyempa ubunge mwanae. na ukuu wa wilaya marafiki za wanae.

Hizo zako ni miongoni mwa sifa za kiboya especially kwa mburula. Mkuu kweli nawewe ni Great Thinker?
Sasa hao wake wa wenyeviti na makatibu wenu pamoja na dada za viongozi wenu waliopewa viti maalumu utasemaje?
Ridhwani anagombea Chalinze kama wengine tu.
Kikwete kampa ubunge Pro. Muhongo kwa utaalamu wake na sio Ridhwani mtoto wake.
 
kweli we ni zero!tena sifuri kamili,na hotuba aliyotoa jana?bado unathubutu kuongea unachoongea?acheni ushabiki wakati mwingine,haya wanae hajawapeleka nje,hapa walipo unadhani ni wajinga?c wanajua wanachokifanya?maisha yako na yao yanaendana??shiit!
 
we si abunuas?nani atakuelewa?
 
Nitamkumbuka Kikwete kama Rais dhaifu sana.

1. Katika utawala wake rushwa imeota mizizi.Wala rushwa hawapelekwi mahakamani na wakipelekwa kesi zao hazimaliziki na zikimalizika wanasishinda serekali na ikitokezea bahati mbaya wameshindwa Rais anatoa msamahaa kupitia katiba yetu mbovu.

2. Utawala wa Kikwete umepandikiza,umestawisha na kurutubisha udini.Kwanza kwa kutaka kutuletea mahakama ya kadhi huo ni udini mkubwa na mbaya sana.Pili viongozi na taasisi za kigaidi zimeachwa bila kuchukuliwa hatua kali na inapochukua hatua inasusua sua mfano Sheikh wa Mwanza alikuwa akihubiri uvunjifu wa amani halafu akaachiwa akakimbilia India kwa kisingizio cha ugonjwa.

3. Utawala wake umegubikwa na mauaji / mateso ya kisiasa mfano Dr Ulimboka na mwanahabari jina limenitoka.Pia mauaji ya Soweto sitakaanisahau.

4. Utawala wake umeshindwa kulinda rasilimali za taifa,Mfano mauaji ya Tembo ambayo Katibu mkuu wa CCM Bwana Kinana alihusika kusafirisha nje ya nchi.Mikataba mibovu........

5. Utawala wake umeshindwa kulinda katiba ambayo aliapa kuilinda.Zanzibar kujitungia katiba yake inayopora mamlaka ya muungano........
 
Nchi yenye kilometa 945,087 za mraba alafu lami ni km 11000 tu ,alafu unasifia what nonsense is this, ebu kokotoa hapo ujue ni maeneo mangapi hayana Lami na siyo kusifia eti. 945087-11000 means 934087 hamna Lami alafu mtu unaanzisha thread kusifia ujinga. Ungeanzisha Uzi kumsifia kwa kuwa rais alietembelea nchi nyingne duniani hadi kupokelewa na Naibu waziri dah what shameful is that.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... JK tutamkumbuka kwa uungwana wake! Pamoja na Mifumo mibovu iliyopo JK ametumia ukachero wake kuweza kupambana na wahafidhina wengi wa ndani na nje ya chama chake! Mpaka sasa hakuna hata mmoja mwenye uhakika atapata karata turufu ya JK... Uvumilivu na Subira ni vitu adimu sana kwa viongozi shupavu duniani...JK = Putin wa Africa .... sasa tunaona jinsi ambavyo TISS inaimarika chini ya JK!!! Bravo Rais wangu ...
 

JK=Putin wa Africa!
TISS inaimarika!
Mkuu umeandika haya ukiwa unakunya au?
 

Mbona Mwinyi na Nyerere hawakufanya?
 

Tunasifia kwa kutumia Benchmark na benchmark ni viongozi waliopita, Kwani Nyerere alijenga Km ngapi?
 

Na mshahara wako ulikuwa sh ngapi na sasa hivi sh ngapi?
 
Nitamkumbuka kama raisi pekee tz aliyempa ubunge mwanae. na ukuu wa wilaya marafiki za wanae.

Mtoto yupi wa Rais ni Mbunge?!

Ukiwa muongo hivi bado kijana ukijakuzeeka utakuwa MCHAWI!!
 

Ulitaka aweke lami mpaka chumbani kwako ndo zitimie hizo kilimeta za mraba unazotaka?!

Hivi si mtafute hoja za maana kama mnataka kumhumuku mtu kuliko kusema uongo na kuzusha mambo!

Mbona Kikwete anamabaya mengi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…