carbamazepine
jakitoo
Nsamaka
Sakayo
emmyta
stable woman joanah jje's cocochanel
mahondaw
Ntaendeleza list ngoja niwakumbuke
bila joanah hii competition ni voidZikiwa zimebaki siku chache kuufanya mwaka 2017 ubaki story.
Leo napenda kuwakaribisha hapa kumtafuta mrembo wa JF wa mwaka huu.
Tunajua wapo wengi ila wanazidiana.
Hapa tunataka kumpata aliye zaidi ya wengine.
Mimi naweka hawa watano tuwapigie kura ila unaweza pia kuongezea kwenye List yule unayeona Anafaa.
Shunie
Demiss
Sakayo
Inna
emmyta.
Ongezea wakwako halafu tupige kura.
Karibuni.
Aisee sina haja ya kueleza zaidi nitambue mchango wako kwa kumtambua Shem wako .
I see now naishi kichwan kwako mkuu !!! .wacha nigombee tu urais maana naona watu wananipenda bado.Vradimirovic Putin anaweza kubeba taji.
Na uchokozi wa ndani ndani ukoje mkuu?!Hatujui ana maana gani, labda aje atwambie kwanini kasema hivi,
Huu ni uchokozi wa nje nje kabisa huu.
Afu jina lako sijaliona [HASHTAG]#ukhuty[/HASHTAG]wote hawa ni warembo
Hata mim sijaelewa vigezo vinavyotumikaSasa mkuu utachaguaje kitu usichokijua? Au ni avatar zao ndio zinashindanishwa?
Thanks mkuu
Asante mkuuSky Eclat, mwanamke mwenye akili na roho ya huruma.
Asante mkuuMrembo wangu ni da sky eclat @ baba swalehe