HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,373 94,568 Feb 23, 2021 #181 rodrick alexander said: Hilo tatizo ni kama linatengenezwa ili watu watumie fursa kwa sababu linajirudia hata mechi na Platnum ilikuwa hivyohivyo Click to expand... Watu wengi vituo vichache afu wako slow
rodrick alexander said: Hilo tatizo ni kama linatengenezwa ili watu watumie fursa kwa sababu linajirudia hata mechi na Platnum ilikuwa hivyohivyo Click to expand... Watu wengi vituo vichache afu wako slow
R rodrick alexander JF-Expert Member Feb 12, 2012 15,211 20,199 Feb 23, 2021 #182 Root said: Watu wengi vituo vichache afu wako slow Click to expand... hata milango huwa wanafungua michache
Root said: Watu wengi vituo vichache afu wako slow Click to expand... hata milango huwa wanafungua michache
R rodrick alexander JF-Expert Member Feb 12, 2012 15,211 20,199 Feb 23, 2021 #183 List imeshatoka Manula, Kapombe, Shabalala, Onyango, Wawa, Lwanga, Chama, Muzamiru, Mugalu, Miquisone, Dilunga Benchi ni Bwalya, Nyoni, Kenedy, Kahata, Kagere na Morison
List imeshatoka Manula, Kapombe, Shabalala, Onyango, Wawa, Lwanga, Chama, Muzamiru, Mugalu, Miquisone, Dilunga Benchi ni Bwalya, Nyoni, Kenedy, Kahata, Kagere na Morison
kipanta JF-Expert Member Sep 2, 2014 913 1,075 Feb 23, 2021 #184 All the best mnyama, kwakweli hii game siwezi kwenda kuitazama, ina presha kubwa kwangu
NAWATAFUNA JF-Expert Member Nov 14, 2019 13,286 24,003 Feb 23, 2021 #185 rodrick alexander said: List imeshatoka Manula, Kapombe, Shabalala, Onyango, Wawa, Lwanga, Chama, Muzamiru, Mugalu, Miquisone, Dilunga Benchi ni Bwalya, Nyoni, Kenedy, Kahata, Kagere na Morison Click to expand... Ahsante sana. Hiki ni kikosi cha SEAL. Waarabu awaponi kwa Mkapa.
rodrick alexander said: List imeshatoka Manula, Kapombe, Shabalala, Onyango, Wawa, Lwanga, Chama, Muzamiru, Mugalu, Miquisone, Dilunga Benchi ni Bwalya, Nyoni, Kenedy, Kahata, Kagere na Morison Click to expand... Ahsante sana. Hiki ni kikosi cha SEAL. Waarabu awaponi kwa Mkapa.
NAWATAFUNA JF-Expert Member Nov 14, 2019 13,286 24,003 Feb 23, 2021 #186 kipanta said: All the best mnyama, kwakweli hii game siwezi kwenda kuitazama, ina presha kubwa kwangu Click to expand... Usihofu Simba ipo vizuri.
kipanta said: All the best mnyama, kwakweli hii game siwezi kwenda kuitazama, ina presha kubwa kwangu Click to expand... Usihofu Simba ipo vizuri.
Papupi JF-Expert Member Feb 3, 2014 2,026 3,231 Feb 23, 2021 #187 Link ya kutizama hii game wakuu.. wengine tuko mbali na TV.. #Totalwar #pointofnoreturn
KANYIMBI JF-Expert Member Nov 6, 2011 2,156 4,309 Feb 23, 2021 #188 rodrick alexander said: List imeshatoka Manula, Kapombe, Shabalala, Onyango, Wawa, Lwanga, Chama, Muzamiru, Mugalu, Miquisone, Dilunga Benchi ni Bwalya, Nyoni, Kenedy, Kahata, Kagere na Morison Click to expand... Kikosi kimetulia. Wote wanaoanza wanatabia ya kukaba tukiwa hatuna mpira isipokuwa Chama. Morson anaweza kuingia kipindi cha pili na kuwa msaada kwa timu. Mkude ni kama amejiondolea ufalme wake kwenye dimba la kati.
rodrick alexander said: List imeshatoka Manula, Kapombe, Shabalala, Onyango, Wawa, Lwanga, Chama, Muzamiru, Mugalu, Miquisone, Dilunga Benchi ni Bwalya, Nyoni, Kenedy, Kahata, Kagere na Morison Click to expand... Kikosi kimetulia. Wote wanaoanza wanatabia ya kukaba tukiwa hatuna mpira isipokuwa Chama. Morson anaweza kuingia kipindi cha pili na kuwa msaada kwa timu. Mkude ni kama amejiondolea ufalme wake kwenye dimba la kati.
Ghazwat JF-Expert Member Oct 4, 2015 23,718 66,262 Feb 23, 2021 Thread starter #189 Tiketi zote zilizoruhusiwa na mamlaka kuuza zimeisha na watu ni wengi sana wapo nje.
E Emmahu JF-Expert Member Mar 14, 2014 973 1,703 Feb 23, 2021 #190 Wale akina Lokosa wanakula mishahara ya bure