Kuelekea fainali: Namuona Bernard Morrison akifanya makubwa sana siku ya fainali ya kombe la shirikisho CAF, endapo ataaminiwa na kocha Nabi

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,747
USM Alger, watakuja na mbinu ya kulinda/ kujilinda na kukaa nyuma ya mpira ikiwapo na zoezi la kupoteza muda ili mradi wasiruhusu goli nyingi/wapate sale ili wakienda kwao waisurubu Yanga.

Hii gemu namuona tutu tundu Toto tukutu mwenye talent/talanta kubwa sana ya kudribo mpira ndani ya box la mpinzani siyo mwingine Bali namuongelea Bernard Morrison.

Kutokana na umahili wake wa kuchezea mpira kwa confidence ya juu anaweza kuwafungua mabeki/ kusababisha penati au faulo ndani ya kumi nane na faulo kwa wapigaji wazuri italeta matunda mzuri kwa Yanga.

Endapo the Big Brain coacher (BBC) Prof Nabbi akimpa nafasi huyu Toto tundu basi tutegemee mazuri kwa asilimia themanini (80) endapo Morrison atakua ameamka vizuri.

"Why not us" hakika Yanga ni bingwa.
 
Morrison akiingia sub kipindi cha pili ndio anakuwa balaa, akianza huwa anakuwa ni mzigo. Maana ana spidi kubwa sana ila anawahi kuchoka mapema.

Akiingia sub, anakuta timu ya wapinzani wameshachoka na hivyo yy anakuwa mpya na zile mbwembwe zake, lazma mpate matokeo
 
USM Alger, watakuja na mbinu ya kulinda/ kujilinda na kukaa nyuma ya mpira ikiwapo na zoezi la kupoteza muda ili mradi wasiruhusu goli nyingi/wapate sale ili wakienda kwao waisurubu Yanga.

Hii gemu namuona tutu tundu Toto tukutu mwenye talent/talanta kubwa sana ya kudribo mpira ndani ya box la mpinzani siyo mwingine Bali namuongelea Bernard Morrison.

Kutokana na umahili wake wa kuchezea mpira kwa confidence ya juu anaweza kuwafungua mabeki/ kusababisha penati au faulo ndani ya kumi nane na faulo kwa wapigaji wazuri italeta matunda mzuri kwa Yanga.

Endapo the Big Brain coacher (BBC) Prof Nabbi akimpa nafasi huyu Toto tundu basi tutegemee mazuri kwa asilimia themanini (80) endapo Morrison atakua ameamka vizuri.


"Why not us" hakika Yanga ni bingwa.
Hapo kwenye kudrible sawa ila kombe subutu labda mliibe.
 
Morrison shtuka. Yanga wanataka akutumie halafu muda mfupi baadae wakuteme. Walishaanza kukuambia ''huyu kichaa aondolewe klabuni maana anaigharimu sana timu na hana msaada kwetu", lakini mara ghafla "namuona Toto Tundu (BM3) mwenye talent ya kudrible mpira akituheshimisha fainali ya kwanza kwa Mkapa"
 
Morrison shtuka. Yanga wanataka akutumie halafu muda mfupi baadae wakuteme. Walishaanza kukuambia ''huyu kichaa aondolewe klabuni maana anaigharimu sana timu na hana msaada kwetu", lakini mara ghafla "namuona Toto Tundu (BM3) mwenye talent ya kudrible mpira akituheshimisha fainali ya kwanza kwa Mkapa"
Hata yeye mwenyewe anatamani kuweka record ya kuwa kwenye carrier yake aluwahi kubeba kombe la CAF.
 
Morrison shtuka. Yanga wanataka akutumie halafu muda mfupi baadae wakuteme. Walishaanza kukuambia ''huyu kichaa aondolewe klabuni maana anaigharimu sana timu na hana msaada kwetu", lakini mara ghafla "namuona Toto Tundu (BM3) mwenye talent ya kudrible mpira akituheshimisha fainali ya kwanza kwa Mkapa"
Hizo mechi mbili Zina faida Kwa kile upande,Morison itampa soko zaidi,Yanga itapata matokeo.Huoni Mayele anapiga mpira mkubwa yote hayo ni kujitengenezea soko lake mwenyewe huku timu ikifaidi Kwa matokeo
 
Morrison akiingia sub kipindi cha pili ndio anakuwa balaa, akianza huwa anakuwa ni mzigo. Maana ana spidi kubwa sana ila anawahi kuchoka mapema.

Akiingia sub, anakuta timu ya wapinzani wameshachoka na hivyo yy anakuwa mpya na zile mbwembwe zake, lazma mpate matokeo
Mechi ngapi zimeamriwa na huyo Morison ? Unaweza kudhani ni rahis yeye kufunga au kuleta tuta lakini ikawa ndivyo sivyo ,msidhani wapinzani wenu wao hawajipangi kuwadhibiti mkizubaa mtachapwa hapahapa bongo hiyo ni fainali kila mtu anakitaka kikombe
 
Mechi ngapi zimeamriwa na huyo Morison ? Unaweza kudhani ni rahis yeye kufunga au kuleta tuta lakini ikawa ndivyo sivyo ,msidhani wapinzani wenu wao hawajipangi kuwadhibiti mkizubaa mtachapwa hapahapa bongo hiyo ni fainali kila mtu anakitaka kikombe

Mm ni mshabiki wa Simba.
Akiwa Simba ameleta impact kubwa sana kwny mechi akitokea bench. Hata kwa Yanga kuna mechi ameingia sub kwny hayo mashindano nadhani, kuingia kwake attacking force ya Yanga ilikuwa kubwa sana.

Siongelelei mechi nzima ya Yanga atashindwa AMA atashinda. Tunamwongelea mchezaji mmoja tu Morrison matumizi yake kwa club endapo akicheza kwa kuanza ama sub
 
Mechi ngapi zimeamriwa na huyo Morison ? Unaweza kudhani ni rahis yeye kufunga au kuleta tuta lakini ikawa ndivyo sivyo ,msidhani wapinzani wenu wao hawajipangi kuwadhibiti mkizubaa mtachapwa hapahapa bongo hiyo ni fainali kila mtu anakitaka kikombe
Umeona alichokifanya Morrison baada ya kuingia pre assist imetoka kwake.
 
Na bado kila mchezaji utampigia hesabu siyo kwa Bernard tu kesho utarudi ni mwingine 🤣🤣🤣.Pumzisheni fuvu zenu tu!!
 
Morrison akiingia sub kipindi cha pili ndio anakuwa balaa, akianza huwa anakuwa ni mzigo. Maana ana spidi kubwa sana ila anawahi kuchoka mapema.

Akiingia sub, anakuta timu ya wapinzani wameshachoka na hivyo yy anakuwa mpya na zile mbwembwe zake, lazma mpate matokeo
Mleteeeee morrison
 
Back
Top Bottom