Kudanganywa wakati wa kampeni za uchaguzi!

Kudanganywa wakati wa kampeni za uchaguzi!

Joined
Jul 28, 2013
Posts
72
Reaction score
17
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza sababu za msingi wa wapiga kura na wananchi wa kanzania kutopewa taarifa sahihi juu ya nchi yao na pia sera za maendeleo ya nchi yao.

maswali yafuatayo, naombe majibu:

1. Kwanini watanzania hawapewi taarifa sahihi juu ya manedelo yao ya kisiasa na kiuchumi. Watanzania wengi hawajui nini nchi yao imefanya na nini haijafanya na kwa sababu gani

2. Akina nani hasa wadau wakubwa wa kudanganya au kutosema ukweli kwa wananchi

3. Ni mbinu zipi zinazotumika katika kuwadanganya wapiga kura wetu

4. Nini kifanyike kwa wapigara kura wetu, kama ni elimu imetolewa sana, tatizo ni nini

Naombeni mnisaidia
 
Back
Top Bottom