Kuchi vifaranga na mayai wanauzwa

Kuchi vifaranga na mayai wanauzwa

Kwa wale wahitaji wa kuku aina ya kuchi original,midomo ya kasuku wanauzwa,tunachukua order kwa wale wa mikoani pia.tuwasiliane 0713246244.Tsh 15,000/- wa wiki mbili.mayai Tsh 10,000/-.karibu wadau
Mayai Tsh 10,000/= kwa tray au? Na hao wa wiki mbili Tsh 15,000/= kwa kifaranga kimoja au?
 
Kifaranga cha kuchi kwa bei ya 15 ni fair mnoooo, unless kama munaoponda hamuwajui kuchi.
 
Hivi hiii tabia ya kutangaza biashara halfu vitu vingine hamjibu mnapelekana chemba sijui PM ni hapa tuuu au hâta kwa wadhungu
 
Muwe mnasoma jinsi gani ya kuweka tangazo la biashara nadhani imeelezewa vizuri humu ndani sio poa kila kitu unasema njoo PM
 
Hivi hiii tabia ya kutangaza biashara halfu vitu vingine hamjibu mnapelekana chemba sijui PM ni hapa tuuu au hâta kwa wadhungu
Ukiona hivyo ogopa, jua ni utaperi tu, haiwezekani biashara halali uanze tena kuzungusha watu nyuma ya duka.
 
Kwa wale wahitaji wa kuku aina ya kuchi original,midomo ya kasuku wanauzwa,tunachukua order kwa wale wa mikoani pia.tuwasiliane 0713246244.Tsh 15,000/- wa wiki mbili.mayai Tsh 10,000/-.karibu wadau
Kama tunaitana pm kwa kila swali ni vema hata tangazo lako ungetangazia pm mkuu!
 
Inapo tokea mtu anatangaza biashara humu, alafu mteja anapo hitaji maelezo kwa undani..... Then muuzaji anakimbilia kujibu eti, njoo PM....
Hili neno la kuitana PM huwa linanipa mashaka sana, na binafsi huwa nalichukulia kama moja kati ya dalili za kupigwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom