Tuanze na wewe,kwanini hua unaumia?
Wewe huumia?
kwa sababu akili zenu fupi mnajifikiria nyie tu!!!!
baki njia kuu wewe
Mwanaume akichepuka huitwa dume la mbegu, mwanamke akichepuka malaya. Hivyo ndivyo jamii ilivyotengenezwa.
Wanaume tunaona kana tuna haki vile na ukichapiwa utaona umefedheheshwa sana.
Sisi wote ni binadamu na tuna hisia sawa za kuumia na kufurahi. Tofauti iliyopo ni uvumilivu tu kwa wanawake upo juu na wanaume ni ziro kabisa.
Kwasababu wabinafsi filimbi zao watembeze dunia nzima ila sie hapana.