Kuchelewa maisha

Mnajazana ujinga humu ndani.

Huwezi kumfananisha mtu aliyetajirika akiwa na miaka chini ya 30 na yule aliyetajirika akiwa na miaka zaidi ya 70 kuna utofauti mkubwa mno kuanzia kimawazo,kimtazamo, lifestyle nk.
 
maisha huanza pindi unazaliwa, ndo maana tendo la Leo huathiri maisha ya kesho haijalishi una umri gani. Kwa hiyo Hamna kuchelewa bali ni mtazamo wa akili.
 
Kuchelewea maisha kupo...

Ni pale unapofika 50yrs alafu huna mbele wala nyuma... huna mtoto hata wa kusingiziwa, huna mke, huna chochote kwa jina lako...



Cc: mahondaw
 
hivi kipimo cha maisha mazuri ni kipi?
 
Angekua ametoa hii mada mtu mwingine ningeelewa..ila wewe NO
 
Mnajazana ujinga humu ndani.

Huwezi kumfananisha mtu aliyetajirika akiwa na miaka chini ya 30 na yule aliyetajirika akiwa na miaka zaidi ya 70 kuna utofauti mkubwa mno kuanzia kimawazo,kimtazamo, lifestyle nk.
lakini wote wanaitwa matajiri au sio?
 
Ukute kidume umechelewa maisha halafu kitandani unawahi kumwaga...

😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…