BABU MAENDELEO
Member
- Apr 30, 2013
- 93
- 19
Ndugu wana jukwaa chuo chetu cha usimamizi wa fedha (IFM) kimeamua kututesa bila sababu ya msingi kwani tuliahidiwa kuingiziwa fedha za field baada ya uhakiki kumalizika ila cha kushangaza mpaka dakika hii uhakiki umekamilika ila hakuna mwanafunzi yoyote aliyeingiziwa fedha za kujikimu.
Fedha chuo kimekabidhiwa kutoka hazina ila hawataki kutuwekea mpaka tusaini wakati Mama Ndalichako alituhakikishia fedha za kujikimu zitaingia kwenye akaunti za wanafunzi na kusainiwa pindi chuo kitakapofunguliwa.
Swali la kujiuliza wao wanataka wanafunzi wasaini fedha ndio waingiziwe, hawajui kama wanafunzi wapo likizo na tunaishi mikoa tofauti kwanini wakiuke Maagizo ya mama Ndalichako mbona vyuo vingine wameingiziwa?
Tumechoka na unyanyasaji unaoendelea IFM
Fedha chuo kimekabidhiwa kutoka hazina ila hawataki kutuwekea mpaka tusaini wakati Mama Ndalichako alituhakikishia fedha za kujikimu zitaingia kwenye akaunti za wanafunzi na kusainiwa pindi chuo kitakapofunguliwa.
Swali la kujiuliza wao wanataka wanafunzi wasaini fedha ndio waingiziwe, hawajui kama wanafunzi wapo likizo na tunaishi mikoa tofauti kwanini wakiuke Maagizo ya mama Ndalichako mbona vyuo vingine wameingiziwa?
Tumechoka na unyanyasaji unaoendelea IFM