wazirib28
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 460
- 275
Habarini ndugu jamaa na marafiki. Mimi nimeamua kuachana kabisa na XXX. Lakini kuna zingine huja bila kukusudia kwamfano ktk mitandao ya kijamii. Hivyo naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kublock hizo vitu sizihitaji kabisa. Au kama kuna app ya kufanya hivyo naomba tujuzane hapa.