Majuto ni mjukuu ...Habari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... 😡😡😡. NB:Mali yapatikana shambani
asante sport pesa kwa mara ya tano leo nakula milion 9 team zote kubwa niliweka under ya 4.5 tren la wiki moja asanten sana spotpesa hatimae nafikisha milion 85 kwenye toka nianze kubet mwaka jana kwa kila kampun ngoja kesho ni
Tajiri naomba hela ya vocha tajiriasante sport pesa kwa mara ya tano leo nakula milion 9 team zote kubwa niliweka under ya 4.5 tren la wiki moja asanten sana spotpesa hatimae nafikisha milion 85 kwenye toka nianze kubet mwaka jana kwa kila kampun ngoja kesho nikawasaidie wasio jiweza
Unastarehe ila unaliwa 😄Nafanya betting kama starehe sifanyi kama kipato
😄 🤣 😂 😆 😄asante sport pesa kwa mara ya tano leo nakula milion 9 team zote kubwa niliweka under ya 4.5 tren la wiki moja asanten sana spotpesa hatimae nafikisha milion 85 kwenye toka nianze kubet mwaka jana kwa kila kampun ngoja kesho nikawasaidie wasio jiweza
Kwani hiyo pitch hai-meet viwango vya FA/UEFA/FIFA? Au ni kama ule wa kule Unyanyembe mtu mzima alichomoa dakika ya mwisho kabisa nyongeza?𝗧𝗶𝗺𝘂 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗵𝗮𝘇𝗶𝘄𝗲𝘇𝗶 𝗸𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗺𝗮𝘁𝗼𝗸𝗲𝗼 𝗽𝗮𝗹𝗲 𝗶𝗹𝗲 𝗽𝗶𝘁𝗰𝗵 𝗻𝗶 𝗻𝗱𝗼𝗴𝗼 𝗺𝗻𝗼𝗼, 𝗸𝘄𝗮𝗵𝗶𝘆𝗼 𝘁𝗶𝗺𝘂 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗹𝗮𝘇𝗶𝗺𝗮 𝘇𝗶 𝘀𝘁𝗿𝘂𝗴𝗴𝗹𝗲 𝗸𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 matokeo
labda nikutengenezee mkeka hela hy nilipanga yote nikawasaidie yatima na wagonjwa pamoja na wafungwa so naenda kuwapa hela yote sitaki nibak hata na mia mana kama kula beting nimekula vya kutosha na nimeliwa vya kutoshaYa vocha tajiri
Sawa hata huko mkeka ni msaada pia boss!labda nikutengenezee mkeka hela hy nilipanga yote nikawasaidie yatima na wagonjwa pamoja na wafungwa so naenda kuwapa hela yote sitaki nibak hata na mia mana kama kula beting nimekula vya kutosha na nimeliwa vya kutosha
Kuna aseno na yanga piaHabari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... 😡😡😡. NB:Mali yapatikana shambani
Daaah mkuu ujue nini sasa ..!!!Poor Brain fursa hii hapa
Bafo hujafuzu kua mkamaria wewe changamoto ndogp ushaanza kulia lia ajali kazin sitosahau ihefu na yanga ile ya kuvunja unbeaten ya 49 ilivyochana mkeka wanguHabari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... 😡😡😡. NB:Mali yapatikana shambani
Kuliwa na kula ndio utamu wa mchezo huoUnastarehe ila unaliwa 😄
Ndo ufanye kama njia yakipato au starehe kupunwa kuko pale pale 😄Kuliwa na kula ndio utamu wa mchezo huo
Ungekula ingekuwaje? Ungeyasema haya! Hata Mimi nimepigwa mechi hiyo hiyo tena niliweka city ashinde adrooHabari,kubeti imekuwa kazi kuliko kuchimba dhahabu man city kanilaza na viatu itabidi niachane na hii kazi haina faida....... 😡😡😡. NB:Mali yapatikana shambani
Kama hujawahi kulima usijaribu kuingia kwa pupa. Huku utalia kilio cha mbwa koko.Kilimo kwanzaView attachment 3141724