Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 581
- 642
Huyu jamaa cwezi kumuamini kabisa katika maisha yangu...nilikuwa nikisoma makala zake na habari zake ...nikiamini ni proffesional alikuwa akiandika story za kuisema sana serikali na kusema anaibua madudu....nakumbuka alivyowahi kumshambulia EDWARD LOWASSA na kumuita majina ya ajabu kadri alivyopenda yeye...ila ghafla kachukua fomu ya kugombea ubunge kupitia CDM mbaya zaidi yule mtu aliyekuwa akimsema na kumshushia matusi...sasa tunaona anampamba na kutaka kumsafisha .....ndugu zangu nisaidieni huu ndio uandishi wa kikombozi....u write to whom u serve and not write for the wananchi