Kubenea awadai pesa za kesi ukawa

East African Eagle

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
3,759
2,205
nilitarajia kesi ya kuomba tafsiri ya kazi la bunge la katiba ingefunguliwa na UKAWA.Lakini hawakufanya hivyo.Kubenea na vihela vyake vidogo vya kubangaiza akatafuta wakili akafungua.Hukumu imetoka UKAWA wanaitisha hadi press conference kuzungumzia hiyo hukumu utafikiri wao ndio walifungua.
Hukumu hii mimi naiona kama ina hatimiliki (COPYRIGHT) ya aliyefungua kesi yaani kubenea.Hawa Ukawa wanaotumia hii kesi kujienga n.k kama kweli wanajali wamlipe gharama kubenea alizotumia kuendeshea hiyo kesi.Ni aibu kuwa waliachia lifanywe na mtu binafsi halafu waanze kula matunda yake kwa kuvuna wasipopanda.

Kubenea walimwita pandikizi,mtafuta umaarufu na kila jina alipofungua hiyo kesi.Namwomba kubenea awapelekee invoice za hiyo kesi walipe.Wasitumie bure hiyo judgement kwa kuwa kubenea hajaipata bure kagharimia.
 
Hili nalo neno.

nilitarajia kesi ya kuomba tafsiri ya kazi la bunge la katiba ingefunguliwa na UKAWA.Lakini hawakufanya hivyo.Kubenea na vihela vyake vidogo vya kubangaiza akatafuta wakili akafungua.Hukumu imetoka UKAWA wanaitisha hadi press conference kuzungumzia hiyo hukumu utafikiri wao ndio walifungua.
Hukumu hii m,imi naiona kama ina hatimiliki (COPYRIGHT) ya aliyefungua kesi yaani kubenea.Hawa Ukawa wanaotumia hii kesi kujienga n.k kama kweli wanajali wamlipe gharama kubenea alizotumia kuendeshea hiyo kesi.Ni aibu kuwa waliachia lifanywe na mtu binafsi halafu waanze kula matunda yake kwa kuvuna wasipopanda.

Kubenea walimwita pandikizi na kila jina alipofungua hiyo kesi.Namwomba kubenea awapelekee invoice za hiyo kesi walipe.Wasitumie bure hiyo judgement kwa kuwa kubenea hajaipata bure kagharimia.
 
Wajuaje kama UKAWA sio waliomfinance!!!!tulia wewe hujui kinachoendelea, pitia pale Lumumba kachukue haki yako ya kuwasaliti watanganyika!!!
nilitarajia kesi ya kuomba tafsiri ya kazi la bunge la katiba ingefunguliwa na UKAWA.Lakini hawakufanya hivyo.Kubenea na vihela vyake vidogo vya kubangaiza akatafuta wakili akafungua.Hukumu imetoka UKAWA wanaitisha hadi press conference kuzungumzia hiyo hukumu utafikiri wao ndio walifungua.
Hukumu hii mimi naiona kama ina hatimiliki (COPYRIGHT) ya aliyefungua kesi yaani kubenea.Hawa Ukawa wanaotumia hii kesi kujienga n.k kama kweli wanajali wamlipe gharama kubenea alizotumia kuendeshea hiyo kesi.Ni aibu kuwa waliachia lifanywe na mtu binafsi halafu waanze kula matunda yake kwa kuvuna wasipopanda.

Kubenea walimwita pandikizi,mtafuta umaarufu na kila jina alipofungua hiyo kesi.Namwomba kubenea awapelekee invoice za hiyo kesi walipe.Wasitumie bure hiyo judgement kwa kuwa kubenea hajaipata bure kagharimia.
 
nilitarajia kesi ya kuomba tafsiri ya kazi la bunge la katiba ingefunguliwa na UKAWA.Lakini hawakufanya hivyo.Kubenea na vihela vyake vidogo vya kubangaiza akatafuta wakili akafungua.Hukumu imetoka UKAWA wanaitisha hadi press conference kuzungumzia hiyo hukumu utafikiri wao ndio walifungua.
Hukumu hii mimi naiona kama ina hatimiliki (COPYRIGHT) ya aliyefungua kesi yaani kubenea.Hawa Ukawa wanaotumia hii kesi kujienga n.k kama kweli wanajali wamlipe gharama kubenea alizotumia kuendeshea hiyo kesi.Ni aibu kuwa waliachia lifanywe na mtu binafsi halafu waanze kula matunda yake kwa kuvuna wasipopanda.

Kubenea walimwita pandikizi,mtafuta umaarufu na kila jina alipofungua hiyo kesi.Namwomba kubenea awapelekee invoice za hiyo kesi walipe.Wasitumie bure hiyo judgement kwa kuwa kubenea hajaipata bure kagharimia.

Nyaraka za mashauri na maamuzi kutoka mahakamani ni nyaraka za wazi kwa watu wote (public documents) nadhani huna uelewa kwa hilo.
 
Katika hili, hatutazami Mtu, awe au asiwe flani, bali tunatazama Masuala.

Shida yetu wengi tunajitahidi kuwapenda watu badala ya mambo.

Small minds discuss people!!!
 
Safi sana Ukawa na Kubenea. Wewe mleta mada ulitaka CCM watumie maamuzi haya? Kwa taarifa tu ni kwamba hukumu yoyote ni public document!!!! Ndiyo maana hata wanasheria wanazifanyia reference. Pole zako!!!!
 
nilitarajia kesi ya kuomba tafsiri ya kazi la bunge la katiba ingefunguliwa na UKAWA.Lakini hawakufanya hivyo.Kubenea na vihela vyake vidogo vya kubangaiza akatafuta wakili akafungua.Hukumu imetoka UKAWA wanaitisha hadi press conference kuzungumzia hiyo hukumu utafikiri wao ndio walifungua.
Hukumu hii mimi naiona kama ina hatimiliki (COPYRIGHT) ya aliyefungua kesi yaani kubenea.Hawa Ukawa wanaotumia hii kesi kujienga n.k kama kweli wanajali wamlipe gharama kubenea alizotumia kuendeshea hiyo kesi.Ni aibu kuwa waliachia lifanywe na mtu binafsi halafu waanze kula matunda yake kwa kuvuna wasipopanda.

Kubenea walimwita pandikizi,mtafuta umaarufu na kila jina alipofungua hiyo kesi.Namwomba kubenea awapelekee invoice za hiyo kesi walipe.Wasitumie bure hiyo judgement kwa kuwa kubenea hajaipata bure kagharimia.
Namwona Kubenea kama mtu mmoja mwenye akili na kujua haki zake kana mwananchi, kuliko wengi wanaopiga domo na kulalamikia makwapsni.

Kubenea anaingia katika kundi la watu kama Mtikila wanaodiriki kuyahoji maamuzi kisheria, bila kuandamana wala kuleta mtafaruku.
Kwa hili Big Up Kubenea.
Mtoa mada usijifiche kwenye vivuli vya kisiasa vinavyoficha kutoelewa kwako, sasa umejua tafsiri au ambiguity ya kifungu no. 25 cha rasimu ya katiba, na sidhani kama ligi imekwisha hii.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtoa maada una Upungufu wa Upeo wa Utaifa Kichwani! Si kila kitu ufanyacho ni kwa manifaa yako binafsi. Kwani mtikila alipofungua kesi ya mgombea binafsi alikiwa yeye ndo anagombea nafasi zote za uongozi nchini?
 
mtoa mada jalib kufikiri zaid hiyo katiba ni faida kwako na watoto wako hivyo nakuomba ufikilie mbali zaid
 
Utakuwa unachorongwa kwenye 0713 au 0714. makario yanakuwasha

nilitarajia kesi ya kuomba tafsiri ya kazi la bunge la katiba ingefunguliwa na UKAWA.Lakini hawakufanya hivyo.Kubenea na vihela vyake vidogo vya kubangaiza akatafuta wakili akafungua.Hukumu imetoka UKAWA wanaitisha hadi press conference kuzungumzia hiyo hukumu utafikiri wao ndio walifungua.
Hukumu hii mimi naiona kama ina hatimiliki (COPYRIGHT) ya aliyefungua kesi yaani kubenea.Hawa Ukawa wanaotumia hii kesi kujienga n.k kama kweli wanajali wamlipe gharama kubenea alizotumia kuendeshea hiyo kesi.Ni aibu kuwa waliachia lifanywe na mtu binafsi halafu waanze kula matunda yake kwa kuvuna wasipopanda.

Kubenea walimwita pandikizi,mtafuta umaarufu na kila jina alipofungua hiyo kesi.Namwomba kubenea awapelekee invoice za hiyo kesi walipe.Wasitumie bure hiyo judgement kwa kuwa kubenea hajaipata bure kagharimia.
 
Kwani wewe mtoa mada unapiskia neno UKAWA unaelewa nini??

Mtanzania yeyote mwenye nia njema na katiba bora katika nchi hii anaweza kuwa ukawa...

Nakushauri hata wewe kama umeona alichokifanya Kubenea ni kizuri kwa maslahi ya taifa hili basi wewe pia ni sehemu ya UKAWA hivyo waweza kumchangia Kubenea gharama za kesi!
 
Back
Top Bottom