Inaluhusiwa kweli hii wakuu??WANA HRO, naomba nielimishwe kuhusu mchakato wa mtumishi wa umma kufanyiwa job recategorization, zoezi la kubadili kada huwa linafanyika mwezi wa ngapi?
hata mimi nahitaji hilo natamani kufundisha collage hasa vya ualimu
Una G.P.A ya ngapi?hata mimi nahitaji hilo natamani kufundisha collage hasa vya ualimu
bado sijajua mkuu naomba maelekezo plzWrite your reply...ulishapata utaratibu wa namna ya kuhama kufundisha toka sec kwenda college?