Automatic, pia nataka niweke injini ya aina yoyote nitakayoshauriwa lakin yenye Cc ndogo Na iwe from japanNaam umechagua kubadili na kuweka engine ipi? Kama hiyo ya mjapani ama unabadili kabisa?
Gari ina transmission manual ama auto?
3sge ni moja ya Engine ya wastani yenye Ufanisi mzuri mno!
Ninayo Rav4.. Nimefunga 3sge nikatia Ecu nzuri..mpya! Mafuta inanusa..
Kama unabadir Engine usiweke injini za ajabu maana rav4 ni gari ambayo ni very useful ktk offroad.. Yaani 3s inafaa ktk rav4 ukibadir hyo iliopo weka same type.
Mwanzo Engne yangu ilikufa Nozzel.. Ikaw inakunywa.. Nikabdir ila wapi.. Nikavua Jiko.. Nikavesha jingine saiv napeta tu.. Kama ist vile.
Mkuu kwa namna ninavyosoma uzi,naona kama vile unataka kubadili engine kwa sababu ya matumizi ya mafuta. Ila kabla hujabadili naomba ujiulize haya maswali kwanza.Wadau gari langu ni rav4 Toleo la uingereza, yaani injini ni 3s G.E twin cam, sasa nataka nibadilishe niweke injini ya kijapan lakin ni rav4 iyo iyo, naombeni ushauri wa kitaalamu