Kubadili firmware halafu ikafail

Kubadili firmware halafu ikafail

Gabybrave

Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
10
Reaction score
0
guyz anae weza kunisaidia
simu yangu motorola mb853 , nilikua nina weka firmare upya kwa kuwa iliokuepo ilikua ikigoma kuenda katika recovery, so nilipokua naweka upya iliishai 99% na ikafail, so now haiwez fanya kazi na endapo ikiwaka bas inasema failed boot 1 mwenye idea yeyote plz help me out...nimejaribu ku search for tht issue it seems kuna way ya kusolv but nikijaribu still inafail.. any help plz 209f44e6-84ce-c75d.jpg
 
kwanza angalia kama hio simu ni ya carrier yoyote yule then hakikisha aina ya simu exactly, ifungue cover la nyuma kama ina battery itoe ukipata aina ya simu halafu google firmware yake ndio uinstall.

maelezo ya juu uliyotoa hayatoshelZi hio firmware ulieka na nini,
 
samahan kutokq nje ya mada, ninasamsung s5 clone lakini haina uwezo wa kuchange network mode muda ni GSM only je ntafanyaje kutatua tatizo hili?
 
samahan kutokq nje ya mada, ninasamsung s5 clone lakini haina uwezo wa kuchange network mode muda ni GSM only je ntafanyaje kutatua tatizo hili?

Kuna clone hazina 3g kama haiwez kuchange ndio haina 3g
 
Back
Top Bottom