Gabybrave
Member
- Aug 11, 2012
- 10
- 0
guyz anae weza kunisaidia
simu yangu motorola mb853 , nilikua nina weka firmare upya kwa kuwa iliokuepo ilikua ikigoma kuenda katika recovery, so nilipokua naweka upya iliishai 99% na ikafail, so now haiwez fanya kazi na endapo ikiwaka bas inasema failed boot 1 mwenye idea yeyote plz help me out...nimejaribu ku search for tht issue it seems kuna way ya kusolv but nikijaribu still inafail.. any help plz
simu yangu motorola mb853 , nilikua nina weka firmare upya kwa kuwa iliokuepo ilikua ikigoma kuenda katika recovery, so nilipokua naweka upya iliishai 99% na ikafail, so now haiwez fanya kazi na endapo ikiwaka bas inasema failed boot 1 mwenye idea yeyote plz help me out...nimejaribu ku search for tht issue it seems kuna way ya kusolv but nikijaribu still inafail.. any help plz