Teh teh! WAHUDHURIAJI WATASIMAMA DAKIKA SIFURI ILI KUMUOMBEA MNYAMA MWITU
Teh teh! WAHUDHURIAJI WATASIMAMA DAKIKA SIFURI ILI KUMUOMBEA MNYAMA MWITU
labda alimaanisha mnyama komba ni kweli kuna mnyama anaitwa komba kwani wangoni klawaida yao kuitana majina ya wanyama ,kuna NGOnyani,MApunda,KAtembo,kombaKama tunaelekea huku, sasa ni kweli ubinadamu umetutoka.
Mnyama mwitu ni Komba au Wasira?
komba ni mnyama mdogo anakulaga sana ndiz ni mnyama ambaye ana tofauti kubwa na paka ,kuku,bata,popi,ngombe,mbuzi nk ambao hao wanafugwa na kuishi pamoja na binadamu .mnyama mwingine tofaut na hao anaish mwituni alikodai atakimbilia baada ya restoration ya tanganyika. Understand?
ubinadamu hatuna siku nyingi mkuu kama viongozi wakuu wa nchi wanasema wananchi wapigwe tu, unadhani tunaelekea wapi hapoKama tunaelekea huku, sasa ni kweli ubinadamu umetutoka.
labda alimaanisha mnyama komba ni kweli kuna mnyama anaitwa komba kwani wangoni klawaida yao kuitana majina ya wanyama ,kuna NGOnyani,MApunda,KAtembo,komba
Mnyama mwitu ni Komba au Wasira?
Mnyama mwitu ni Komba au Wasira?
Dr slaa/chura
Chura mwenye kisukari
Dr slaa/chura
Nyani Ngabu pia wapo
Nyani Ngabu pia wapo