Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
Hatimaye Umoja wa nchi za ulaya (EU) umeafikiana makubaliano ya kutumia Usb chaji aina moja kupitia simu zote zitakazotengenezwa mwaka 2024. Mpango huu unahusu vifaa vyote vya kieletroniki kuanzia simu , kamera , laptop,console za game pad , electronic - readers, earbuds , headphones pamoja na headsets nk.
Japo mwanzoni ilikua hinaonekana kama rungu kwa kampuni ya apple kutokana na kuwa na mifumo tofauti na wengine kuanzia kwenye chaji za simu , laptop na vifaa vyake vingine.
Lakini tarehe 08/06/2022 bunge la umoja wa ulaya walikubaliana wote kutumia USB type C kwa watumiaji wa simu zote. Jambo hili limetumia miaka kumi 10 kubishana mpaka kukubaliana.
" Bidhaa katika categories zilizotajwa zote zitalazimika kuwa na mlango wa Usb Aina Moja bila kujali mtengenezaji wao ni nani !!" Bunge la Umoja wa Ulaya lilisema katika tangazo lao jana.
Sera Yao pia itahimarisha mifumo ya fast charging kwenye speed hivyo tutarajie kuona vifaa vyote kutumia speed Moja kwa vifaa vyote wakati unachaji.
Pini
waliyohamua hitumike ni hile ambayo wanatumia sana washikaji zetu wa Tecno, Infinix, Xiaomi nchini Africa
Je tunakoelekea soko la simu litaendelea kuwa la ushindani kweli au lah tuachie maoni yako?
Japo mwanzoni ilikua hinaonekana kama rungu kwa kampuni ya apple kutokana na kuwa na mifumo tofauti na wengine kuanzia kwenye chaji za simu , laptop na vifaa vyake vingine.
Lakini tarehe 08/06/2022 bunge la umoja wa ulaya walikubaliana wote kutumia USB type C kwa watumiaji wa simu zote. Jambo hili limetumia miaka kumi 10 kubishana mpaka kukubaliana.
" Bidhaa katika categories zilizotajwa zote zitalazimika kuwa na mlango wa Usb Aina Moja bila kujali mtengenezaji wao ni nani !!" Bunge la Umoja wa Ulaya lilisema katika tangazo lao jana.
Sera Yao pia itahimarisha mifumo ya fast charging kwenye speed hivyo tutarajie kuona vifaa vyote kutumia speed Moja kwa vifaa vyote wakati unachaji.
Pini
waliyohamua hitumike ni hile ambayo wanatumia sana washikaji zetu wa Tecno, Infinix, Xiaomi nchini Africa
Je tunakoelekea soko la simu litaendelea kuwa la ushindani kweli au lah tuachie maoni yako?

