Tamisemi wanatumia Lawson hata kwa katibu mkuu hapo unahama na cheque namba yko na kutema mshahara mmoja km sio transfer unaingia kwny ajira mpya ila mkurugenzi wko lazima apitishe barua na ufungashiwe data zako.
Zipo taasisi za serikali hazitumii Lawson ukihama huko tamisemi umehama unaenda kuanza upya