Kazi ya ualimu ilinishinda wakuu nisameheni buree. Ili uweze kuchakachua izo ch za mytv lazima uwe na iyo dongle pamoja na receive unafunga dish dogo la ku lenye ukubwa cm 90 sateliti w3a pale ilipokua gtv zamani fregwens zake ni 12728vsr30000 waya unapeleka kwenye iyo dongo alafu kuna waya wa data (rs)unakwenda ktk risiva yako sehemu iriyoandikwa rs 232 nyuma ya risiva kisha ile waya iliyotoka ktk dish lako kama mytv unafunga pale kwe lnb in. Hapo utakua unafuraia picha. Kuna risiva maalumu zinasapoti na dongle sio zote .zinapatikana dar na kwetu unguja .sio lazima uhuziwe maana fbi mpo wengi .kuna dongle za kuhack aina nyingi dongle azina zamana unaweza kununua ukatumia wiki 2 picha zikapotea. Sateliti ya w3a kazi yake ni kuvuta data tu .(BLACKMARKET)