Habari za asubuhi wadau wote wa jukwaa hili. Napenda kufahamu ukimaliza kozi ya Ukaguzi level ya Diploma waweza kuwa Mkaguzi wilaya au unarudi kufundisha tena? Naomba kuelimishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.