Kozi Ya Irrigation And Water Resources Engineering

Kozi Ya Irrigation And Water Resources Engineering

LAWAMA

Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
6
Reaction score
1
kwa wale wote walio soma na wanao soma koz hii naomba tufamishane kuhusu hi kozi kwa swala zima la ajira,mkopo na usomaji wake.mimi nimechaguliwa hiyo koz sua
 
kwa wale wote walio soma na wanao soma koz hii naomba tufamishane kuhusu hi kozi kwa swala zima la ajira,mkopo na usomaji wake.mimi nimechaguliwa hiyo koz sua

Ngoja Tumalize Kwanza Uchaguzi USITUCHANGANYE.
 
Sio wote wanasiasa humu...wengine ni wanataaluma mbalimbali kwa hyo usimzuie kijana kupata mawazo ya watu wenye nia njema....

kweli kaka huyo jamaa anaufinyu wa mawazo
 
Ni kozi nzuri sana man.mi nipo SUA nasoma Agric engineering majamaa wa irrigation tuna intersect nao kwenye lecture nying tuu but for more info nichek man
0768085295/0712451119
 
Back
Top Bottom