Kozi ya cardiology

Kozi ya cardiology

tss

Member
Joined
Aug 31, 2023
Posts
73
Reaction score
41
Habari wakuu,kwa anayeijua hii kozi Kwa Tanzania ni chuo gani wanaitoa hii kozi na je ili uwe cardiologist unatakiwa uwe na vigezo vipi,asanteni
 
lazima usome MD 5 years then IM 3 years then lastly cardiology 2 years vyuo najua MUHAS
 
Kwa unamjua Cardiologist? tuanzie hapo
Ni daktari wa moyo ,afya na magonjwa ya moyo yaani na matatizo mengine yanayosababisha athari kwenye moyo.kiufupi ndo najua hivyo
 
lazima usome MD 5 years then IM 3 years then lastly cardiology 2 years vyuo najua MUHAS
Asante,vp ko kama hujasoma MD huwezi kusoma hii,namaanisha hakuna bachelor ya hii kozi kw tz kama ilivyo bachelor zngne mfano dentistry?
 
hiyo sio bachelor ni superspeciality
Kuna wanafunzi wapo India wanasoma banchelor asa sijaelewa wakirudi Tanzania watatambulikaje wakati hata mD hawajasoma
 
Back
Top Bottom