Kosa mnalolifanya CHADEMA!!

Kosa mnalolifanya CHADEMA!!

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Watanzania walishaikataa hii katiba kwa kusema haitufai na ni mbovu sasa mtu akiivunja tunamlaumu kwa nini?
tusimlaumu anayeivunja katiba tumulaumu aliyetupa katiba mbovu
Na tuanze sasa kupigania katiba mpya !!

Kazi yangu ni kushauri na kuongea ukweli milele ?
Ingawa naunga mkono operations Ukuta lakini kuna makosa ya kimkakati ya Kutowashirikisha wana ukawa wote katika maandamano yenu !!
Haya maandamano yalitakiwa kuwashirikisha NCCR,CUF na NLD
Kitendo cha kuvitenga hivi vyama mnafanya makosa hapo !!

Mlipotuletea manifesto ya chama uchaguzi uliopita hatukuona mkileta manifesto zaidi ya moja hivyo Sera yenu ingeendelea kuwa moja tu ya kuviunganisha hivi vyama viwe na ajenda za kudumu kama
Kupigania Ufisadi
Kutafuta katiba mpya
Kutafuta tume huru ya uchaguzi
Kupambana na wavunja katiba mpya itakayopatika.

Tulishawai kuongea lugha moja kuwa katiba tuliyonayo ni mbovu na hatuiitaji tunachokitaka ni katiba mpya !!
Sasa kama tunataka katiba mpaya iweje twendelee kuipigania ya zamani tena tunayojua ni mbovu??

Mwacheni Rais avunje katiba hii aimalizie ili tutafute vizuri katiba mpya
Waiteni CUF ,NCCR na NLD tudai katiba mpya!!!
 
Tuko kwenye hatua ya kupigia kura Katiba Pendekezwa. Katiba ya wananchi ilizikwa Dodoma. UKAWA ipo pale pale ilihali UKUTA ni operation ya CHADEMA.
 
Tuko kwenye hatua ya kupigia kura Katiba Pendekezwa. Katiba ya wananchi ilizikwa Dodoma. UKAWA ipo pale pale ilihali UKUTA ni operation ya CHADEMA.
Lakini kwanini tuvitenge Vyama vingine??
 
Tunasafiri kwenye basi bovu na chakavu wakati basi jipya na maridadi lipo kwenye meli linakuja je ni halali kwa dereva wa basi bovu kuvunja sheria na kutofuata alama za barabarani kwa kisingizio cha ubovu wa basi? Huku ana hatarisha usalama wetu abiria
 
Watanzania walishaikataa hii katiba kwa kusema haitufai na ni mbovu sasa mtu akiivunja tunamlaumu kwa nini?

tusimlaumu anayeivunja katiba tumulaumu aliyetupa katiba mbovu
Na tuanze sasa kupigania katiba mpya !!

Kazi yangu ni kushauri na kuongea ukweli milele ?

Ingawa naunga mkono operations Ukuta lakini kuna makosa ya kimkakati ya Kutowashirikisha wana ukawa wote katika maandamano yenu !!

Haya maandamano yalitakiwa kuwashirikisha NCCR,CUF na NLD

Kitendo cha kuvitenga hivi vyama mnafanya makosa hapo !!

Mlipotuletea manifesto ya chama uchaguzi uliopita hatukuona mkileta manifesto zaidi ya moja hivyo Sera yenu ingeendelea kuwa moja tu ya kuviunganisha hivi vyama viwe na ajenda za kudumu kama
Kupigania Ufisadi
Kutafuta katiba mpya
Kutafuta tume huru ya uchaguzi
Kupambana na wavunja katiba mpya itakayopatika.

Tulishawai kuongea lugha moja kuwa katiba tuliyonayo ni mbovu na hatuiitaji tunachokitaka ni katiba mpya !!

Sasa kama tunataka katiba mpaya iweje twendelee kuipigania ya zamani tena tunayojua ni mbovu??

Mwacheni Rais avunje katiba hii aimalizie ili tutafute vizuri katiba mpya

Waiteni CUF ,NCCR na NLD tudai katiba mpya!!!
ukuta ya watanzania wote ndo maana kamanda sirro kaarikwa na hata uchwara ana alikwa
 
Acheni Wandamane, nahitaji wateja kwenye Pharmacy yangu hapa Mwananyamala Hospital
Polisi wanajiandaa na Mabomu, Chadema wanajiandaa na Mabango na viroba nami najiandaa na Plaster, Bandeji, pain killers n.k najua sikosi wateja kuanzia tarehe 1 September
 
Kweli katiba yetu ina shida kubwa! Lakini kufanikiwa kwa UKUTA pia kutaleta haja ya kutazamwa upya kwa katiba iliyopo!

UKUTA uko pale pale! 01.09.2016, Bado hakijazaliwa kiumbe chenye uwezo wa kuzuia UKUTA!
 
Kwanini tusidai katiba kwanza?

Hiyo katiba unaidai kwa staili gani ikiwa mikutano ni marufuku, na hata hii katiba iliyopo hakuna sehemu ambayo imekataza mikutano ya siasa ndiyo maana tunataka ifuatwe, kama tukiacha raisi avunje tu sawa na ukawa au kila mtu akisema avunje katiba kutakalika?
 
Watanzania walishaikataa hii katiba kwa kusema haitufai na ni mbovu sasa mtu akiivunja tunamlaumu kwa nini?
tusimlaumu anayeivunja katiba tumulaumu aliyetupa katiba mbovu
Na tuanze sasa kupigania katiba mpya !!

Kazi yangu ni kushauri na kuongea ukweli milele ?
Ingawa naunga mkono operations Ukuta lakini kuna makosa ya kimkakati ya Kutowashirikisha wana ukawa wote katika maandamano yenu !!
Haya maandamano yalitakiwa kuwashirikisha NCCR,CUF na NLD
Kitendo cha kuvitenga hivi vyama mnafanya makosa hapo !!

Mlipotuletea manifesto ya chama uchaguzi uliopita hatukuona mkileta manifesto zaidi ya moja hivyo Sera yenu ingeendelea kuwa moja tu ya kuviunganisha hivi vyama viwe na ajenda za kudumu kama
Kupigania Ufisadi
Kutafuta katiba mpya
Kutafuta tume huru ya uchaguzi
Kupambana na wavunja katiba mpya itakayopatika.

Tulishawai kuongea lugha moja kuwa katiba tuliyonayo ni mbovu na hatuiitaji tunachokitaka ni katiba mpya !!
Sasa kama tunataka katiba mpaya iweje twendelee kuipigania ya zamani tena tunayojua ni mbovu??

Mwacheni Rais avunje katiba hii aimalizie ili tutafute vizuri katiba mpya
Waiteni CUF ,NCCR na NLD tudai katiba mpya!!!
Huwezi zaliwa bila kutungwa mimba!
 
Watanzania walishaikataa hii katiba kwa kusema haitufai na ni mbovu sasa mtu akiivunja tunamlaumu kwa nini?
tusimlaumu anayeivunja katiba tumulaumu aliyetupa katiba mbovu
Na tuanze sasa kupigania katiba mpya !!

Kazi yangu ni kushauri na kuongea ukweli milele ?
Ingawa naunga mkono operations Ukuta lakini kuna makosa ya kimkakati ya Kutowashirikisha wana ukawa wote katika maandamano yenu !!
Haya maandamano yalitakiwa kuwashirikisha NCCR,CUF na NLD
Kitendo cha kuvitenga hivi vyama mnafanya makosa hapo !!

Mlipotuletea manifesto ya chama uchaguzi uliopita hatukuona mkileta manifesto zaidi ya moja hivyo Sera yenu ingeendelea kuwa moja tu ya kuviunganisha hivi vyama viwe na ajenda za kudumu kama
Kupigania Ufisadi
Kutafuta katiba mpya
Kutafuta tume huru ya uchaguzi
Kupambana na wavunja katiba mpya itakayopatika.

Tulishawai kuongea lugha moja kuwa katiba tuliyonayo ni mbovu na hatuiitaji tunachokitaka ni katiba mpya !!
Sasa kama tunataka katiba mpaya iweje twendelee kuipigania ya zamani tena tunayojua ni mbovu??

Mwacheni Rais avunje katiba hii aimalizie ili tutafute vizuri katiba mpya
Waiteni CUF ,NCCR na NLD tudai katiba mpya!!!
Wewe unafanya kosa gani?
 
Back
Top Bottom