Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Fikiri wamekutana mwezi uliopita leo wanaishi kama mke na mme.... Hii ni shidaaaaaaaaaa, huyu binti alitaka hifadhi kwa malipo ya ngono haya mengine yanatokea bila kukusudiwa.
Nipo mkuu,vipi kwema?[/Q
Mradi pemekucha salama,Nashukuru Mungu leo nimeiona sijui kesho itakuwaje?
Nipo mkuu,vipi kwema?[/Q
Mradi pemekucha salama,Nashukuru Mungu leo nimeiona sijui kesho itakuwaje?
Mungu atasaidia
Na sidhani km walipimaFikiri wamekutana mwezi uliopita leo wanaishi kama mke na mme.... Hii ni shidaaaaaaaaaa, huyu binti alitaka hifadhi kwa malipo ya ngono haya mengine yanatokea bila kukusudiwa.
Nikiwa mkoa flani hivi kibiashara mwanzoni mwa mwezi uliopita nikakutana na mdada mmoja ambaye alikuja kuanza kazi kama mwalimu wa secondary {hawa walioajiriwa juzijuzi}. Katika kuzoeana tukajikuta tumeanza mahusiano ya kimapenzi na mpaka sasa tuko pamoja na tunaishi pamoja, ukizingatia kipindi hicho ndo anakuja kuanza kazi hakuna mshahara wala pesa ya kujikimu ikabidi nimpe hifadhi.
Kiumri nina 31 yrs yeye ana 25 yrs kwa kipindi hiki kifupi tunaishi vizuri hapa kijijini mpaka watu wanajua ni wanandoa.Jana nikiwa nmetoka kazini yeye yuko nje anafua kuna sms iliingia kwenye simu yake nikatamani nijue ni nani nikaifungua nikakuta ujumbe huu " hellow my wife nimekumiss sana kipenzi changu leo ndo nimerudi toka safari kama nilivyokuahidi kesho naenda kwenu kupeleka nguo za mtoto na matumizi.
Naomba mke wangu ujichunge najua umepangiwa kufundisha mkoa mwingine lakini isiwe sababu ya kuisariti ndoa yetu nakupenda pia nampenda mtoto wetu."Sio siri nlishtuka sana kwani binti huyu hakuwahi kusema kama ameolewa japo alishanieleza ana mtoto. Basi nikamuita na kumwonyesha sms hiyo alikiri kuwa ameolewa na ana mtoto mmoja japo alipokuja kuanza kazi mtoto alimpeleka kwao kwani mmewe anafanya biashara za kusafiri.
Nikamuuliza lengo la kunificha kama ameolewa akaanza kulia na kusema alishindwa kunipa ukweli alijua ningemwacha wakati yeye pia ametokea kunipenda na anaenjoy mapenzi nnayompa! Pia akasema hawakuwahi kufunga ndoa ingawa walioana baada ya binti kupata mimba akiwa chuo na jamaa kujitambulisha kwao na kuanza kumsaidia binti kimasomo. Pia anasema kipindi chote cha ndoa yao hakuna amani kama anayoipata kwangu na akaahidi yuko tayari kuachana na mmewe ili aishi kwa furaha na mimi.
Wadau niko njia panda kwani katika maisha yangu sikuwahi kufikilia kuwa na mke wa mtu achilia mbali kuishi nae! Nampenda sana kwani tunaishi kwa amani na sijaona kasoro yoyote kitabia ananijali na kuniheshimu. Lakini katika hili la mmewe nafsi inanisuta! Nafikiria kumwacha mapema kabla mmewe hajapata taarifa ili nisihatarishe maisha yangu.
Je nitakuwa na kosa katika hili?
Kwa wale wazee wa matusi tafadhali msinichafulie uzi wangu sio lazima ucoment pumba,busara inahitajika zaidi.
Yaani haogopi ukimwi mweee!!!!!!!! mmh!!!!!!
Nikiwa mkoa flani hivi kibiashara mwanzoni mwa mwezi uliopita nikakutana na mdada mmoja ambaye alikuja kuanza kazi kama mwalimu wa secondary {hawa walioajiriwa juzijuzi}. Katika kuzoeana tukajikuta tumeanza mahusiano ya kimapenzi na mpaka sasa tuko pamoja na tunaishi pamoja, ukizingatia kipindi hicho ndo anakuja kuanza kazi hakuna mshahara wala pesa ya kujikimu ikabidi nimpe hifadhi.
Kiumri nina 31 yrs yeye ana 25 yrs kwa kipindi hiki kifupi tunaishi vizuri hapa kijijini mpaka watu wanajua ni wanandoa.Jana nikiwa nmetoka kazini yeye yuko nje anafua kuna sms iliingia kwenye simu yake nikatamani nijue ni nani nikaifungua nikakuta ujumbe huu " hellow my wife nimekumiss sana kipenzi changu leo ndo nimerudi toka safari kama nilivyokuahidi kesho naenda kwenu kupeleka nguo za mtoto na matumizi.
Naomba mke wangu ujichunge najua umepangiwa kufundisha mkoa mwingine lakini isiwe sababu ya kuisariti ndoa yetu nakupenda pia nampenda mtoto wetu."Sio siri nlishtuka sana kwani binti huyu hakuwahi kusema kama ameolewa japo alishanieleza ana mtoto. Basi nikamuita na kumwonyesha sms hiyo alikiri kuwa ameolewa na ana mtoto mmoja japo alipokuja kuanza kazi mtoto alimpeleka kwao kwani mmewe anafanya biashara za kusafiri.
Nikamuuliza lengo la kunificha kama ameolewa akaanza kulia na kusema alishindwa kunipa ukweli alijua ningemwacha wakati yeye pia ametokea kunipenda na anaenjoy mapenzi nnayompa! Pia akasema hawakuwahi kufunga ndoa ingawa walioana baada ya binti kupata mimba akiwa chuo na jamaa kujitambulisha kwao na kuanza kumsaidia binti kimasomo. Pia anasema kipindi chote cha ndoa yao hakuna amani kama anayoipata kwangu na akaahidi yuko tayari kuachana na mmewe ili aishi kwa furaha na mimi.
Wadau niko njia panda kwani katika maisha yangu sikuwahi kufikilia kuwa na mke wa mtu achilia mbali kuishi nae! Nampenda sana kwani tunaishi kwa amani na sijaona kasoro yoyote kitabia ananijali na kuniheshimu. Lakini katika hili la mmewe nafsi inanisuta! Nafikiria kumwacha mapema kabla mmewe hajapata taarifa ili nisihatarishe maisha yangu.
Je nitakuwa na kosa katika hili?
Kwa wale wazee wa matusi tafadhali msinichafulie uzi wangu sio lazima ucoment pumba,busara inahitajika zaidi.
Na sidhani km walipima
Yaani haogopi ukimwi mweee!!!!!!!! mmh!!!!!!