Kosa langu liko wapi hapa?

Achana naye huyo, yupo kimaslahi zaidi. Mambo yake yakinyooka atarudi tu kwa huyo mzazi mwenzake.
 
Yupo na wewe kutimiza mahitaji yake. Akili za kuambiwa unatakiwa uchanganye na zako, si kila anayekwambia anakupenda na akakuvulia pichu basi ujibweteke na kuamini anakupenda. Chukulia hayo mahusiano kama funzo usije fanya makosa mbeleni.

Achana naye, kusema uongo hata kwa Mungu ni kosa kubwa sana. Na kwa msg ya jamaa yake jinsi ilivyo inaonesha anampenda sana na ana wivu sana, ukichelewa unaweza kuweka roho yako rehani. Kutenda kosa sio kosa, kosa.......!
 
Fikiri wamekutana mwezi uliopita leo wanaishi kama mke na mme.... Hii ni shidaaaaaaaaaa, huyu binti alitaka hifadhi kwa malipo ya ngono haya mengine yanatokea bila kukusudiwa.
Na sidhani km walipima
 

hebu soma hapo kwenye red...then uandike upya...no wonder unakurupukia mahusiano
 
Kama wanawake wameisha kiasi kwamba ni lazima uwe na huyo go on
 
dah! hii movie kama iliyomkuta ndugu yangu
 
Pole sana Mbwa dume

Kuna vitu kadhaa nilivyoviona;

1. Uharaka: Sijui kwa wengine, lakini binafsi uliposema mmekutana mwezi uliopita(Mei) mwanzoni na sasa hivi ni mwezi wa sita mwanzoni, ninadhani hapa umeharakisha mahusiano hata kama unampenda kiasi gani, esp. kwa dunia ya sasa!


2. Uhitaji: Either you are too desperate or too easy going! Sidhani hata kama ndani ya mwezi unaweza kuishi na mwanamke kama me na mke(as you said, hata kijijini wanajua nyie mmeoana.

3.Upofu: 'They say curiosity killed the cat' huko kuchunguza chunguza kwa simu yake ndiyo kumeleta haya. Sasa nashindwa kuelewa unaposema 'hana kasoro' ..Believe me everyone has, tunavumiliana tu! Kama huzioni it was not high time for you kuingia katika mahusiano.

Pili, kasoro ndiyo hizo umetambua uongo(kuficha ukweli), uaminifu haupo pia.



Uamuzi mgumu: Ninadhani binti/mwanamke/dada huyo amefanya out of desperation(Ulimpa hifadhi hukuwa na nia yeyote nyingine), ilibidi akubali, na alijua kuishi pamoja kunaweza kupelekea huko(mahusiano) na ndiyo maana hakukueleza wazi kuhusu baba wa mtoto wake! Pili Baba wa mtoto wake amemueleza amefikia wapi?

Then, kama 'fadhila' ya kumhifadhi ndiyo ikapelekea mahusiano nothing else.

Stand to be corrected,
-Dont rush into things.
-Usimuamini mtu yeyote kirahisi rahisi.
-Mueleze wazi kuwa huhitaji maendeleo yoyote ya mahusiano yenu, ila sishawishiki kumhifadhi mke wa mtu mliyekutana tu huko hata kama ana shida gani aisee.
 
Last edited by a moderator:
Unataka ushauri gani wakati jibu unalo?achana na mke wa MTU..jenga utu ktk moto wako.
 

Kuwa msiri na muongo ni tabia

anyway alifanya hivyo asikukose maana kakupenda.... so kama unampenda pia usimwache hata kama sijui ni mke mtu au ana mtoto tayari maana "LOVE IS ABSENT OF JUDGMENT"
 
Kosa lako ni kudandia mwanamke usiyemjua na kumuweka ndani na kuishi pamoja bila kumchunguza.........hivyo basi jiandae kuliwa 0713 ili liwe fundisho kwako next time usirudie Mkuu.
 
Sasa sijui hata afya zenu mlicheki au la,? Majanga.
 
Soma alama za nyakati si ajabu huyo ndo mauti wako Some tym uwe unafuatilia mambo ya nyota yatakusaidia kujua ukoje kama hujajisoma vizuri
 
Be careful kijana kuishi na mke wa mtu ni risk sana bora uachane nae maana mshikaji akigundua atakufanyia kitu mbaya kwa gharama yoyote ile
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…