Kosa la kampeni za UKAWA

Kosa la kampeni za UKAWA

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Ukawa wamefanya kosa la kampeni kwa kumtegemea mtu mmoja tu...yaani kuuza sura ya lowasa.

Kosa hili litawagharimu sana wagombea ubunge na udiwani.

Lowassa ameenda sehemu chache na kwa bahati mbaya hajafikia uwezo wa Slaa wa kuwanadi wabunge na madiwani.

Kampeni za Ukawa na za ujumla sana huku wakisahau kura zinapigwa locally...

Hii ina maana influence kwa local community bado ipo kwa ccm na huu ndio ushindi wa CCM.
 
Wenzio washapewa nauli za kurudi kijijini na January, usijekuwa unahara tu hapa wakati hata nauli huna. Ofisi hizo zinafungwa jumapili, kwahiyo jumatatu hautakuwa kazini.
 
Ukawa wamefanya kosa la kampeni kwa kumtegemea mtu mmoja tu...yaani kuuza sura ya lowasa.

Kosa hili litawagharimu sana wagombea ubunge na udiwani.

Lowassa ameenda sehemu chache na kwa bahati mbaya hajafikia uwezo wa Slaa wa kuwanadi wabunge na madiwani.

Kampeni za Ukawa na za ujumla sana huku wakisahau kura zinapigwa locally...

Hii ina maana influence kwa local community bado ipo kwa ccm na huu ndio ushindi wa CCM.

Kosa la kampeni za ccm ni kutumia sana bongoflv na hicho kitasababisha kushindwa kwa magufuli na hawezi fika kura milion3
 
Wenzio washapewa nauli za kurudi kijijini na January, usijekuwa unahara tu hapa wakati hata nauli huna. Ofisi hizo zinafungwa jumapili, kwahiyo jumatatu hautakuwa kazini.

Mimi sikua kwenye ile safari ya matumaini mind you!
 
Kosa la kampeni za ccm ni kutumia sana bongoflv na hicho kitasababisha kushindwa kwa magufuli na hawezi fika kura milion3

Ushahidi ni video ya taarifa ya habari leo. Robo ya umati ndio wanaimba magufuli
 
Wenzio washapewa nauli za kurudi kijijini na January, usijekuwa unahara tu hapa wakati hata nauli huna. Ofisi hizo zinafungwa jumapili, kwahiyo jumatatu hautakuwa kazini.

Yaani bado mpo na jambazi lenu la richmond mnalitembeza mikoani ili wananchi walijue. Mngejua tumeishaamua mafisadi tunayasubiri tunayasubiri 25 tuyachinjeee. Mamtu yameibaa leo yanataka urais. Fisadi papa hawezi kupewa nchi hata dawa tutampiga vita fisadi mpaka kaburini. Kura yangu ni kwa rais wangu mpendwa Magufuri.
 
CHADEMA watashindwa vibaya na hawataamini. Nikweli wanatumia nguvu nyingi sana kum promote Lowassa mpka wanawasahau wabunge wao na madiwani.yani watashindwa ktk urais na watashanga kupoteza majimbo mengi tofauti na mwaka 2010.
 
CHADEMA watashindwa vibaya na hawataamini. Nikweli wanatumia nguvu nyingi sana kum promote Lowassa mpka wanawasahau wabunge wao na madiwani.yani watashindwa ktk urais na watashanga kupoteza majimbo mengi tofauti na mwaka 2010.

Anayekataa hii yuko in denial lakini mwenye akili timamu anaelewa vizuri. Dalili zote zipo!
 
Kitakachofanyika mwaka huu kitaonekana kama miujiza lakini kumbe ni hesabu ndogo sanaa. Ccm kura zao mpka sasa zinaonekana. Ccm mpka sasa ushindi wao unaonekana kwann. Kwnza tujue hili kumekuwepo na uhamasishaji mkubwa wanaUKAWA kutohudhuria mikutano ya ccm. Hii inamaana kuwa ktk mikutano ya chadema wanaohudhuria ni pamoja na wanaccm kwsbabu chama chao hakikuwazuia kuhudhuria. Pia wapo washangaaji wanaokwenda kumshangaa huyu waziri mkuu mstaafu aliyehama chama wanakwenda kumshangaa huyu mtu aliyemwaga Dr Slaa n.k. ikumbukwe hapo hata wanaccm ambao watapigia kura ccm wanakuwepo, labda ndio sababu inaonekana wana watu wengi. Lakin mikutano ya ccm ni wanaccm wenyewe wachache sana ni ukawa na pale ndipo tunapopata wazalendo wa chama na ambao ndo wanakura halali. So ukawa msijidanganye na wingi wa watu kuwa ndo ushindi. Bado hamjajipanga. Kubalini matokeo tar 25
 
Yaani bado mpo na jambazi lenu la richmond mnalitembeza mikoani ili wananchi walijue. Mngejua tumeishaamua mafisadi tunayasubiri tunayasubiri 25 tuyachinjeee. Mamtu yameibaa leo yanataka urais. Fisadi papa hawezi kupewa nchi hata dawa tutampiga vita fisadi mpaka kaburini. Kura yangu ni kwa rais wangu mpendwa Magufuri.

Sasa kwa taarifa yako hilo hilo fisadi ndio wananchi wanamtaka na nchi anaichukua kwa nguvu za wananchi sio nguvu yako. Na Ikulu ni kwa yule mshindi. Miaka 50 mnang'ng'ania Ikulu ni ya baba yenu Lowassa ameshashinda.
 
Vp Mkuu meningitis utabiri wako uleeeee wa Rais ajae bado upo au umeutengua?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom