meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Ukawa wamefanya kosa la kampeni kwa kumtegemea mtu mmoja tu...yaani kuuza sura ya lowasa.
Kosa hili litawagharimu sana wagombea ubunge na udiwani.
Lowassa ameenda sehemu chache na kwa bahati mbaya hajafikia uwezo wa Slaa wa kuwanadi wabunge na madiwani.
Kampeni za Ukawa na za ujumla sana huku wakisahau kura zinapigwa locally...
Hii ina maana influence kwa local community bado ipo kwa ccm na huu ndio ushindi wa CCM.
Kosa hili litawagharimu sana wagombea ubunge na udiwani.
Lowassa ameenda sehemu chache na kwa bahati mbaya hajafikia uwezo wa Slaa wa kuwanadi wabunge na madiwani.
Kampeni za Ukawa na za ujumla sana huku wakisahau kura zinapigwa locally...
Hii ina maana influence kwa local community bado ipo kwa ccm na huu ndio ushindi wa CCM.