Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,466
- 11,239
Habari za muda huu wanajamvi, hiki kitu muda mrefu nlikuwa najiuliza. Ina mana hata tukisema kuwa romantic ndo kujidekeza kulembua lembua bila sabab za msingi. Na kujikoroga na make up mezani "half an hour" , asee seriously!?? Nmeshangaa kinadada wa bongo kuwapenda kim joo sijui hong yong wa series kunaletwa na nn!? . asee hii kibongo bongo ni u'chakula' huu