Korea Kusini na Marekani kwa Pamoja zafyatua Makombola ya ICBM kujibu kitisho cha Korea Kaskazini

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
Katika mazoezi ya Pamoja, Jeshi la Korea Kusini na Marekani yamefyatua makombora 8 ya Masafa Marefu (Surface to Surface Missiles) kujibu uchokozi wa ufyatuaji wa makombola unaofanywa na Korea Kaskazini.

Makombola hayo yalisafiri umbali wa 520 KM kuelekea Bahari ya Atlantic. Rais Mpya wa Korea Kusini ameapia kujibu uchokozi wa Pyongyang kwa Nguvu za kijeshi baada ya miongo kadhaa ya kutafuta majadiliano na Utawala wa Korea Kaskazini bila Mafanikio yoyote Yale.

South Korean military says the action is a demonstration of the allies readiness to respond to N Korean ‘provocations’.

S Korea, US fire eight missiles in response to N Korea tests
 
Yalifyatuliwa kutokea wapi Mkuu?
Moja kutoka US, 7 kutoka South Korea..
"...Early on Monday, hours after North Korea had fired several missiles off its east coast, the two allies launched eight surface-to-surface Army Tactical Missile Systems (ATACMS) - one from the US and seven from South Korea."
 
Moja kutoka US, 7 kutoka South Korea..
"...Early on Monday, hours after North Korea had fired several missiles off its east coast, the two allies launched eight surface-to-surface Army Tactical Missile Systems (ATACMS) - one from the US and seven from South Korea."
... concern yangu ni "Makombola hayo yalisafiri umbali wa 520 Km kuelekea Bahari ya Atlantic"; imepunguza credibility ya hiyo habari.
 
Safi sana dawa ya moto ni moto.
Kiduku akifyatua kombora 1 south korea afyatue 2 na zaidi ndo heshima itakuwepo.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Huyu Raisi alisema hana utani na Korea Kaskazini, na wala hana muda wa kukaa vikao virefu. Aliweka wazi hatasita kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini pale anopohisi usalama wa nchi yake unawekwa shakani.
 
Back
Top Bottom