sisi tuna matatiZo katika fahamu zetu ,one day africa tukiungana tukawa na sera ZA pamoja america na ulaya watalia sana.ngoja hawa viongoz tulio nao wapite.
Unajua siku zote nasema wa Afrika ni wavivu wa kutafakari na kufikiria (na watanzania ni mara kumi zaidi ya mwafrika wa kawaida kwa huo uvivu)!
Na huu uvivu ndyo unasaabisha nchi zetu ziwe kama kichwa cha mwendawazimu, kila taifa la njeya afrika linakujakufanya majaribio yake