Korea Kaskazini yafanya majaribio ya kombora

Korea Kaskazini yafanya majaribio ya kombora

lopeighz

Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
13
Reaction score
2
[h=2]Korea Kaskazini imepuuza onyo la kimataifa na kuendelea na mpango wake wa kujaribu makombora yake ya masafa marefu, kujaribu makombora yake kutumia teknolojia ya kisasa,hatua ambayo pia wanasema imewakumbusha kiongozi wao Kim Jong IL aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita.
[/h] Hatua hiyo ya Pongyang imekashifiwa na Korea Kusini, Marekani,Urusi na Japan mataifa ambayo yameonesha kusikitishwa na hatua hiyo ambayo wanasema inatishia usalama wa kanda hiyo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon, anasema Korea Kaskazini imekeuka azimio la Umoja wa Mataifa huku wajumbe wa Umoja wa Mataifa wakitarajiwa kukutana baadaye siku ya Jumatano kuzungumzia hali hiyo.
Serikali ya Japan inasema kombora za Korea Kaskazini zilifikia katika mpaka wake na kufikia katika eneo la nchi kavu Kusini mwa nchi hiyo.
Hata hivyo, washirika wa karibu wa Korea Kaskazini China hawajazungumzia jaribio hilo lakini rtipoti iliyochapishwa katika gazeti la seriklai la Xinhua iliwataka jirani za Korea Kaskazini kuwa watulivu wakati wa jaribio hilo.
Marekani inasema kuwa Korea Kaskazini iko katika harakati za kutengeneza makombora ya masafa marefu yanayoweza kufika Pwani ya Marekani.
Jaribio lingine la Korea Kaskazini ilikiuwa ni mwezi Aprili mwaka huu ambapo kombora lake lilitibuka dakika chache baada ya kurushwa angani.

Korea Kusini yafanya majaribio ya makombora yake - Korea Kaskazini - RFI
 
Korea kaskazini ndio nchi ya tatu sasa baada ya iran, na russia kuunga mkono majaribio yake. Korea kutangaza vitisho dhidi ya marekani kwa kuzuiwa kuitumia peninsula ya korea inatatiza amani ya sekta hiyo. Yamaanisha marekani ndio yaonekana kutafuta kuanza vita
 
north korea inachofanya sasa ni kuuza sura,cause ikitokea vita NK anapiga vita akiwa solely wakati marekani inaungwa mkono na wajapan, south korea na china na mataifa mengineyo mengi. wajapan na south korea ni kwasababu ya ushirika wao na pia kambi za kijeshi za marekani zimo katika ardhi za hizi nchi, hivyo shambulio lolote kwa marekani litalenga ardhi zao nawao itabidi wajiingize vitani. wakati china imeikopesha marekani pesa nyingi kuinua uchumi na kwakuwa sikuhizi imekaa kiuchumi zaidi haitakubali pesa ipotee bure kwa marekani kuvurugikiwa hivyo itamsapoti kama ambavyo marekani iliwahi kuzisapoti nchi za ulaya wakati ww2.
 
north korea inachofanya sasa
ni kuuza sura,cause ikitokea vita NK anapiga vita akiwa solely wakati
marekani inaungwa mkono na wajapan, south korea na china na mataifa
mengineyo mengi. wajapan na south korea ni kwasababu ya ushirika wao na
pia kambi za kijeshi za marekani zimo katika ardhi za hizi nchi, hivyo
shambulio lolote kwa marekani litalenga ardhi zao nawao itabidi
wajiingize vitani. wakati china imeikopesha marekani pesa nyingi kuinua
uchumi na kwakuwa sikuhizi imekaa kiuchumi zaidi haitakubali pesa ipotee
bure kwa marekani kuvurugikiwa hivyo itamsapoti kama ambavyo marekani
iliwahi kuzisapoti nchi za ulaya wakati ww2.

Hujui unachoandika...
 
Jamani mchina bado hajazungumzia hilo..usipitishe kwamba atakuwa upande wa usa
 
Jamani mchina bado hajazungumzia hilo..usipitishe kwamba atakuwa upande wa usa
you may be right but, ujue vikwazo alivyowekewa NKvimeongezeka na inasemekana kwamba walishawekewa vikwazo siku nyingi na USA, lakini hivi karibuni Russia na China zimeshirikiana na marekani kuongeza vikwazo na ndipo NK ika-react wakati siku za nyuma hawakujali sana vikwazo walivyokuwa wamewekewa. kwasasa hali ya korea kibiashara na kupata malighafi ni ngumu kwakuwa hata china na russia haziwasapoti tena.
swali la kujiuliza..je china ana kitu kipi cha kupoteza ikiwa NK itaangushwa?probable hakuna.. the same applies to russia.
kwa upande wa USA.. ofcoz yes kwani USA ni soko kubwa la bidhaa za china na pia serikali imekopeshwa mabilioni kunyanyua uchumi wa marekani na China.
hivyo Hasara ya marekani itafanya deni lishindwe kurudishwa kwa china. Japo marekani ndio taifa linaloongoza kwakuwa na uchumi mkubwa duniani lakini ndio lenye madeni mengi zaidi kuliko taifa lingine duniani, je china wanalichukuliaje hili swala la kiuchumi ikiwa wanauchumi waliwahikuhusisha vita ya marekani dhidi ya Iraq na Afghanistani ilidhorotesha uchumiwa dunia kwenye mwaka 2008?.
 
kim_jong_un_sexiest_.jpg
 
jambo jingine linaonekana kuhusu NK , ni kuwa Kim hana mamlaka pale amewekwa na majenerali kama figuire head tu,lakini majenerali waliomweka ndio wanaotoa majibu ya hatma ya lile taifa na huyo aliedaiwa ni uncle wake. na hii ni kwasababu ile nchi inatawaliwa kijeshi;mfano, waliwahi kupeleka misaada ya chakula ikawa haiendi kwa raia inaishia kuchukuliwa ili kulisha jeshi la nchi hiyo. Nk ni taifa ambalo kiongozi anaeingia madarakani anatekeleza ule msimamo na utaratibu waliojiwekea tangu enzi na wanaopanga ni maofisa wake.hivyo hata kim akiondolewa madaraka au kuuwawa kunauwezekano wa hakuna kitakachobadilika kuhusu siasa zao za kimataifa. na hii inawafanya wasiwe sawa na china au russia katika utawala wa demokrasia
 
Back
Top Bottom