Korea kama hauna degree haupewi mke, Ifike mahala kama hauna degree usigombee ubunge

Habari wadau..!
Tanzania bado tnaishi zama za 3K's yaani Kusoma Kuandika na Kuhesabu wakati dunia ishapita huko hata Tanzania tushapita huko.Ila hii katiba yetu bado ipo zama za 3K 's .

Nchi sasa imekuwa na wasomi wengi lazima tukubali ,hivyo lazima tubadilishw hata baadhi ya vipengere wakati mbunge Msukuma anaomba mfumo wa elimu ubadilishwe pia na sisi tunaomba kipengere cha sifa ya mtu kugombea ubunge kibadilishwe hiwe lazima hawe degree order.

Korea wao mtu kama hana degree hawezi kupata mke sisi huku darasa la saba mbunge wakati wasomi wapo wengi .
Nchi sasa imekuwa na wasomi wengi lazima tukubali ,hivyo lazima tubadilishw hata baadhi ya vipengere wakati mbunge Msukuma anaomba mfumo wa elimu ubadilishwe pia na sisi tunaomba kipengere cha sifa ya mtu kugombea ubunge kibadilishwe hiwe lazima hawe degree order.

Kwa uandishi huu na kiwango hiki cha degree bora hata huo ubunge wapewe STD IV B.
 
Nchi sasa imekuwa na wasomi wengi lazima tukubali ,hivyo lazima tubadilishw hata baadhi ya vipengere wakati mbunge Msukuma anaomba mfumo wa elimu ubadilishwe pia na sisi tunaomba kipengere cha sifa ya mtu kugombea ubunge kibadilishwe hiwe lazima hawe degree order.

Kwa uandishi huu na kiwango hiki cha degree bora hata huo ubunge wapewe STD IV B.
Wengi mnaopinga ni Standard VII B kama wewe
 
Nikimsikilizaga Jumanne Kishimba na hoja zake, ukweli hua naona aibu na degree yangu. Watengenza sera almsot wote nchi hi wana degree, Kishimba anawauliza, hivi mnaposema Mifugo inaharibu mazingira, mmefanya research hiyo wapi? Twendeni basi huko porini tukae siku 5 ili tuone hasa ni nini hicho ambacho hua kinaharibika, kijana umesoma Uingereza, usilete mambo ya Uingereza Tanzania. Ukweli kila nikimsikiliza, napataga shida sana kumkosoa darasa la saba yule. SIna maana kwamba tusibadiri sheria kuwahusu Wabunge, but na elimu yangu hi, nashindwa kumkosoa Kishimba; kwangu mimi Msukuma ni mpiga kelele, katika maneno 10 atakyo ongea, point utaipata moja tu halafu mshkaji ni muongo sana, to me yule anajaza idadi tu ya watu waliopo bungeni.

Back to the topic; ni kweli kwamba Korea kila raia ana degree? Sidhani kama tuna nchi ya namna hiyo duniani, wasiokua kua na degree hawaoi??? Nahisi hapa umetupiga mkuu, anyway ngoja tu google
Ndio maana nimesema dunia haipo tena kwenye 3K's hata hapa bongo kuna ubaguzi kama unaenda kuoa binti mwenye degree expect mahali kuwa kubwa inaanzia M wakati mahali za form 4 ni 400K fanya uchunguzi.

Kwa Korea ni ngumu kwenda kuoa binti kama hauna degree ni aibu kwa familia ,watu wasio na degree unawatafuta kwa torch sawa na kutafuta bikira Buza.
 
Nchi sasa imekuwa na wasomi wengi lazima tukubali ,hivyo lazima tubadilishw hata baadhi ya vipengere wakati mbunge Msukuma anaomba mfumo wa elimu ubadilishwe pia na sisi tunaomba kipengere cha sifa ya mtu kugombea ubunge kibadilishwe hiwe lazima hawe degree order.

Kwa uandishi huu na kiwango hiki cha degree bora hata huo ubunge wapewe STD IV B.
Degree unaipima kwa uandishi wa insha kweli wewe umeishiwa au unadhani wote tulikaa darasani kuchukua degree za kiswahilo na lugha kama wewe???😂😂😂
 
Kuwa na pesa bila degree ni sawa tu na kuwa na mke mzuri halafu hauna mtoto.
Tafuta wazee wenye pesa wasio na shule kaa nao uwadadisi
Unakula hiyo degree?

Digreeinatakiwa uigeuze iwe hela ndio uone faida yake! Lakini kama huna hela na una degree utaonekana ni taka tu.

Lakini mwenye hela ila hana degree hata kwenye vikao mawazo yako ya kidegree yanatupwa kapuni ila ya mwenye hela ndio yatafanyiwa kazi.
 
Hii nchi ni yetu sote. Wengi waliyoikomboa hata shule hawakwenda. Leo hii kuna umuhimu gani wa kubagua uwakilishi wa wananchi kwa kuangalia elimu.

Ukifika kwenye kutunga sheria wabunge darasa la saba warudi kwa wananchi wanaowawakilisha wachukue maoni yao sio kama walivyo wasomi kama Talimba kuongea bungeni ambayo hawajatumwa na wananchi.
 
Unakula hiyo degree?

Digreeinatakiwa uigeuze iwe hela ndio uone faida yake! Lakini kama huna hela na una degree utaonekana ni taka tu.

Lakini mwenye hela ila hana degree hata kwenye vikao mawazo yako ya kidegree yanatupwa kapuni ila ya mwenye hela ndio yatafanyiwa kazi.
Naona unaleta debate ya pesa bora kuliko elimu.Endelea na debate yako lakini nakuhakikishia haitopita awamu mbili hicho kipengere cha darasa la saba kuwa mbunge kitabadilisha ,mods wataweka kumbukumbu ya nyuzi kama hii hapa tuombe uzima tu.
 
Naona unaleta debate ya pesa bora kuliko elimu.Endelea na debate yako lakini nakuhakikishia haitopita awamu mbili hicho kipengere cha darasa la saba kuwa mbunge kitabadilisha ,mods wataweka kumbukumbu ya nyuzi kama hii hapa tuombe uzima tu.
Ni sawa kabisa!

Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba degree yako haitakusaidi kama hutaigeuza iwe hela labda uitumie kupata huo ubunge kama hivyo.
 
Habari wadau..!
Tanzania bado tnaishi zama za 3K's yaani Kusoma Kuandika na Kuhesabu wakati dunia ishapita huko hata Tanzania tushapita huko.Ila hii katiba yetu bado ipo zama za 3K 's .

Nchi sasa imekuwa na wasomi wengi lazima tukubali ,hivyo lazima tubadilishw hata baadhi ya vipengere wakati mbunge Msukuma anaomba mfumo wa elimu ubadilishwe pia na sisi tunaomba kipengere cha sifa ya mtu kugombea ubunge kibadilishwe hiwe lazima hawe degree order.

Korea wao mtu kama hana degree hawezi kupata mke sisi huku darasa la saba mbunge wakati wasomi wapo wengi .😂😂😂😂
Kwahyo walio disco mke wataskia kwa jirani
 
Kwahyo walio disco mke wataskia kwa jirani
Upate bahati mwanake akupende kweli kweli baada ya wazazi kujiridhisha unapewa interview na baba mkwe ukishinda unaweza lipa posa ukamuoa.Lakini baada ya kupita interview lazima tena upeleke majibu ya vipimo vya afya na bank statement.

Je utachomoka hapo??wataangalia mpaka unamiliki nyumba ya aina gani ,model ya gari ,historia ya familia yako n.k😂😂😂😂
 
............. Kama wa darasa la saba anaweza kuwasemea vizuri changamoto zao huko mjengoni ni hakika atapata kibali kwao. Kwa maana nyingine wananchi ndo wanaamua kwamba tumpe huyu mwenye degree au wa la saba..........

Katiba ndivyo inavyotaka. Lakini 2020 haikua hivyo, chama cha kijani tangu kwenye kura za maoni, kiliamua nani awe mbunge, maamuzi hayakua ya wananchi. Tena to be precisely, Mwenyekiti wao ndiye alikua final.
 
Back
Top Bottom