Gulio Blog JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 3,054 Reaction score 4,118 Dec 18, 2016 #1 Naombeni mnisaidie hata kwa taarifa tu kama naweza kupata konyagi au viroba kwa bei ya jumla huko dar kwa ambaye anafahamu.
Naombeni mnisaidie hata kwa taarifa tu kama naweza kupata konyagi au viroba kwa bei ya jumla huko dar kwa ambaye anafahamu.
saimon111 JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,736 Reaction score 1,359 Dec 18, 2016 #2 Konyagi kubwa (bapa) 6000 nenda kwa wauzaji wa jumla
Sinoni JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 7,043 Reaction score 12,528 Dec 18, 2016 #3 Nenda kwenye maduka ya vinywaji utapata kwa bei nzuri sawa na bure,..